Wacha tujisomeage tu!!😂😂Hii issue bora ukae pembeni uangalie Tu maana inaonekana kuna taarifa nyingi za chini ya carpet kuliko zilizopo nje
Doh!! Hili nalo ni lakujiuliza kweli inawezekana??Nyumba 3 Ndani ya miezi 5!
Thd yako imejaa maneno mengi sana ya "Inasemekana"Habari za ndani kabisa zinasema:
1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa
2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID
3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.
4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.
5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake .
CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG
🔨🔨🔨📌📌Watajuana wenyewe huko walipo sie tunaendelea kula wali maharage maisha yanaendelea
Bado Mwamwindi hajapata mpinzani huko kwenu.Nyanda za juu kusin shujaa wetu nan
Umesoma vizur kilichoandikwa au unapinga tuu
Wanawake wa Singida wana drama gani? Nataka nipose Mnyaturu mmoja huko. HahahahahahaWanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Kwamba nyanda za juu Kusini akina Andendemseke Mwasakafyuku wanatakiwa wajibu?Kabisa, Hamza kwa ukanda wa Pwani na viunga vyake na Said kwa upande wa kanda ya ziwa.
Sio wachoyo [emoji16]Wanawake wa singida wana drama gani? Nataka nipose mnyaturu mmoja huko.hahahahahaha
Nani kakudanganya kwamba huyo jamaa ni ngosha ?huyo ni MaralismNgosha wengi wanapenda rangi nyeupe sana+ wivu wa mapenzi lazima mtu angekufa tu.
Kabisa. Mfumo dume bado upo juu sana.Wanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Hahahaha! Ni kwa wote au individual tu!Sio wachoyo [emoji16]
Kumbe yule mwanamke ni wa SINGIDA??Wanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Mwanamke ni kiumbe complexity sanaKwahiyo Said na pesa zake zote alishindwa kumgegeda na hamfikishi Salha kileleni
Watajuana wenyewe huko walipo sie tunaendelea kula wali maharage maisha yanaendelea