Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,017
- 5,462
Mshauri mkuu wa rais ni makamu wake. Hata leo Mpango hawezi kukwepa anayoyafanya Samia kwa kuteua watu wa dinni moja. Rejea mawaziri watano toka mkoa mmoja wa Tanga huku mawaziri wawili toka mikoa ya Mwanza Mara Simiyu Shinyanga na Kagera.
Vivyo hivyo aliyekuwa makamu kipindi cha JPM ashughulikiwe.
Sijui alikuwa nani na ni nani sasa hivi
Vivyo hivyo aliyekuwa makamu kipindi cha JPM ashughulikiwe.
Sijui alikuwa nani na ni nani sasa hivi