Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Mmmh! Can He be the main masterminder of Ben's murder?Mbowe aliko mavi yanagonga chupi
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh! Can He be the main masterminder of Ben's murder?Mbowe aliko mavi yanagonga chupi
Usiseme wote tungefurahi, sema sisi mashetani wote tungefurahi.Sisi jpm tulimpa go ya hata kuua kwa sababu alikuwa mzalendo na mzalendo ana ua wahuni tu wa taifa ...sasa mtu kama msoga angeuliwa wote tunge furahi sana ....siyo kila mtu ana stailik kuishi.
Wewe na nani?Sisi jpm tulimpa go ya hata kuua kwa sababu alikuwa mzalendo na mzalendo ana ua wahuni tu wa taifa ...sasa mtu kama msoga angeuliwa wote tunge furahi sana ....siyo kila mtu ana stailik kuishi.
Ikitoka kinyume na Imani yenu sielewi mtahamia wapi mkuuKupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.
Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.
Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Naona umeweka picha ya mmakunduuchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe na nani?
Kuna mnyetishaji anadai kwamba Jiwe aliamuru kijana Ben Sa8 akamatwe apelekwe jumba jeupe. Ile kufika tu huyu nduli jiwe alichomoa bastola na kumtoa roho Ben Sa8. Jiwe alimuua Ben kwa mkono wake mwenyewe.Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.
Uzuri nayeye tume. . ......Sisi jpm tulimpa go ya hata kuua kwa sababu alikuwa mzalendo na mzalendo ana ua wahuni tu wa taifa ...sasa mtu kama msoga angeuliwa wote tunge furahi sana ....siyo kila mtu ana stailik kuishi.
Jibu swali langu kwanza ndo turejee kwenye mada yako Mkuu.Naona umeweka picha ya mmakunduuchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu Ni udaku tu, kama Udaku mwingine.Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.
Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.
Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Acha uongo!Jamaa kalikuwa na hasira za niguse nikunukie.
Kalijihisi ni Mungu.
Hadi kakajisahau na kutishia maslahi ya shetan mkuu.
Wakakapiga mtama wa kuangukia chogo!
Anayeua kwa maslahi binafs anajilaan na uzao wake!
Sisi wazalendo ....kwani ulidhani na nyinyi wahuni[emoji1787][emoji1787]Jibu swali langu kwanza ndo turejee kwenye mada yako Mkuu.
Unsure! However, all regimes, everywhere in the world, neutralise all deemed threats to nation's interests.Mmmh! Can He be the main masterminder of Ben's murder?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Wewe hujaelewa Nini hapo'Alivyorudi katoa mashine haijarudi' ndo nini sasa?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Weka ushahidi,Kuna mnyetishaji anadai kwamba Jiwe aliamuru kijana Ben Sa8 akamatwe apelekwe jumba jeupe. Ile kufika tu huyu nduli jiwe alichomoa bastola na kumtoa roho Ben Sa8. Jiwe alimuua Ben kwa mkono wake mwenyewe.
Kama huo uchunguzi utatenda haki basi haya tutayasikia.
Tukisema jiwe alikuwa nduli muuaji muwe mnaelewa.
Hapana mm nimesikia tofauti kidogo. Aliwaambia watu wallet akiwa hai. Walivyomleta. Akapanda juu ghorofani akaenda kunywa kakitu kuweka akili sawa. Alivyorudi katoa machine haijarudi
Aliyetoa machine ni nani? Nini hakijarudi?Wewe hujaelewa Nini hapo