Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Dam inanuka utawala wa Tano tu? Nadhani hamjuwi na mnataka kujuwa ila kwa kuwasaidia anzeni kuondoa haki ya viongozi wakuu kutoshitakiwa ili Taifa linuke harufu mbaya ya dam na dhuluma tangu kuanza kwa misingi ya Taifa hili. Kama kuna Rais hajamwaga dam basi awe wakwanza msemea vibaya Magufuli. Kama Kuna kiongozi team yake haijatoa watu roho awe wakwanza kunyoosha mkono kwa Magufuli... Kama Taifa hili halijanuka uvundo wa ajabu.
Kiufupi yeyote anaye hangaika na Magufuli basi haujuwi mfumo na kama anajuwa amefunga macho kutaka iondoa amani yetu.
Hayati Mandela akakumbuka maovu ya kutafuta uhuru wa SA akasema tupatane mapatano ambayo yalimfanya kumuacha mke wake kipenzi. Why dam dam dam. Jamani tuachane na haya Magufuli hayupo kama alitenda kwa haki au kwa dhuluma Mungu ndie muamuzi wa yote. Ila tujifunze pale tumekosea yasijirudie. Wakati haya Magufuli hajaoza wapo watu wanafanya Yale Yale kwa kificho cha Uzalendo. God have a meryon Us God have a Mercy on president of this republic it is not easy job.
Mkuu mwili wake mliuzika wapi? Maana wewe ndio ulikua mtu wa mwisho kumpa warning ya kwamba atapotezwa..

Embu tupe dondoo walau Roho zetu zitulie maana Bado Zina majonzi ya kumpoteza Ben Saanane PhD!
 
Dam inanuka utawala wa Tano tu? Nadhani hamjuwi na mnataka kujuwa ila kwa kuwasaidia anzeni kuondoa haki ya viongozi wakuu kutoshitakiwa ili Taifa linuke harufu mbaya ya dam na dhuluma tangu kuanza kwa misingi ya Taifa hili. Kama kuna Rais hajamwaga dam basi awe wakwanza msemea vibaya Magufuli. Kama Kuna kiongozi team yake haijatoa watu roho awe wakwanza kunyoosha mkono kwa Magufuli... Kama Taifa hili halijanuka uvundo wa ajabu.
Kiufupi yeyote anaye hangaika na Magufuli basi haujuwi mfumo na kama anajuwa amefunga macho kutaka iondoa amani yetu.
Hayati Mandela akakumbuka maovu ya kutafuta uhuru wa SA akasema tupatane mapatano ambayo yalimfanya kumuacha mke wake kipenzi. Why dam dam dam. Jamani tuachane na haya Magufuli hayupo kama alitenda kwa haki au kwa dhuluma Mungu ndie muamuzi wa yote. Ila tujifunze pale tumekosea yasijirudie. Wakati haya Magufuli hajaoza wapo watu wanafanya Yale Yale kwa kificho cha Uzalendo. God have a meryon Us God have a Mercy on president of this republic it is not easy job.
😡
 
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Better late than never.
Tunasubiri kwa utulivu matokeo ya 'uchunguzi '
 
Haya Magufuli sasa hivi hayupo na matatizo ya hii nchi yote yameondoka maana yeye ndio alikuwa matatizo ya hii nchi.
Ni kweli yameondoka. Hakuna mtu ananyang'anywa fedha, hakuna mtu anauliwa bila sababu na amani na demokrasia imetamalaki nchini
 
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Hakutakuwa Jipya lolote amini hilo
 
Ni kweli yameondoka. Hakuna mtu ananyang'anywa fedha, hakuna mtu anauliwa bila sababu na amani na demokrasia imetamalaki nchini
Unadhani sasa kuna ulazima wa katiba mpya ikiwa kila kitu kinaenda sawa?
 
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Sasa mbona hiyo "Mtasikia hivi karibuni" imekuwa siyo karibuni?
 
Back
Top Bottom