rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
watoe sababu kwa Nani Sasa, watangaze redioni au kweny tv?Kama Polisi wenyewe hawatoi sababu za kukamatwa yeye mleta mada atazijuaje?
Yeye kaleta taarifa kwamba wakili kakamatwa shida iko wapi?
Mwandishi katoa taarifa tu kuna ubaya gani.Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
Taarifa nyingine inasema kwamba Polisi wamekanusha kumkamata na hayupo central , Wasiojulikana wamerejeshwa tena
Sasa mleta mada azitoe wapi sababu kama polisi waliomkamata hawajasema?Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
Siku chache zilizopita alisema kuna njama za kumuua zikiratibiwa na maafisa uhamiaji.Na akatoa screenshot ya mjadala.Inawezekana likawa hilo.Hata hivyo huyu ni ex Police officer na mwanasheria,ni uji unaunguzana na bakuli.Mtoa mada yupo sahihi ameleta habari kama ilivyo lengo ni kuwajulisha flani amekamatwa na wala hajaongeza chumvi umepewa na screensht wenda na yeye anahisi mnazijua sababu tujadiliane unaanza kulalamika basi subir ITV saa mbili jion watakupa sababu maana inaonekana hujui maana ya forum
Ficha ujinga wakoJamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Unataka kuficha utekaji kwa sababu tu wanaccm hawatekwi ?Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Kama hujala ban utaniambiaHahaha Salary Slip a.k.a Hilda leo umeamua ujiweka wazi kabisa.
Kwahiyo mtu akikamatwa unataka watu wasitoe taarifa acheni u much know.Mbona watu wanakamatwa kila siku na maisha yanaenda tu...kama kafanya kosa lazima akamatwe labda kama habar ingekuwa inasema kaonewa au kuna kitu hakipo sawa ila swala la kudakwa ni inshu ya kawaida sana labda tu kama tunataka kukuza mambo.Huku uswahilini kupelekwa kituoni ni kawaida sana na wala hutaandki mitandaoni.
Vumilieni tu huenda kuna Scene moja katika Royal Tour Film nae anatakiwa Kuicheza hivyo akimaliza watawarudishieni Mtu wenu.
Kwani itakuwa mara ya kwanza polisi kutoa sababu, hujawahi kusikia polisi wakitoa taarifa kuwa mtuhumiwa kauawa kwa wivu wa mapenzi mbona mnajitoa ufahamu.watoe sababu kwa Nani Sasa, watangaze redioni au kweny tv?
Argue sensiblySASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Nani kasema asikamatwe.SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Wewe una Akili kuliko Moderators wa Jamiiforums? Acha Kujipendekeza, Kuwafundisha Kazi na kuwa na Kiherehere sawa? Haya Uzi ndiyo huo uko Kurasa ( Page ) ya Tatu ( 3 ) sasa je, unasemaje?Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Huyu ni nani??? Njooni huku mliosema
Umehukumu.Tulia ujue.SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?