Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii foruns siku hizi nao wamegeuka jalala la ku-expose kila uchafu unaorushwa humu! Hakuna cha Great Thinkers tena humu!Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Katiba mpyaHaya mambo sijui yataisha lini!
Hakika Mkuu uko sahihi kabisa.Katiba mpya
Sasa si wakiri kama wamemkamata,hv ndugu wanakuja Centro polisi kupata uhakika kama kakamatwa halafu wanasema hawajamkamata sasa hiyo nin akili au ujinga wenu nyie mipolishiccmMtu anatoa tuhuma nzito kwa taasisi ya serikali kwamba wanataka kumuua anaitwa kutoa maelezo haendi huku akiendelea kutoa tuhuma zisizo na kichwa wala miguu akikamatwa ili ahojiwe mnapiga kelele.
Tuliza mshono dada shonzaJamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Acha kupanic dada!Unaongea upuuzi gani wewe kiroboto? CCM ni ile ile
Kumbe wasiojulikana wapo hata kwa yule tunayeaminishwa ni "msafi" na anayewachafua marehemu ughaibuni?Haya mambo sijui yataisha lini!
Platinum member? Since when? 😝Kama hujala ban utaniambia
Uelewa wako upo chini mnoo...familia imefuatilia jeshi limekanusha! Sababu gani tena unataka zaidi ya yeye kuwaanika wanaopanga njama za Kumpoteza.Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
Kwa mujibu wa zitto ni awamu ya tanoHaya mambo sijui yataisha lini!
Hivi Tanzania tuna tume ya haki za binadamu kweli?Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.
----
Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.
Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.
Tusaidiane kupaza sauti #FreePeterMadeleka
Familia ya Peter Madeleka wanasema kwamba wamearifiwa kwamba Madeleka yupo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi anahojiwa kwa tuhuma za kuwatuhumu Uhamiaji kuwa wanataka kumuua.
Yani badala ya kuwahoji hao waliokuwa wanapanga kumuua wao wamemgeuzia kibao Madeleka, Inasikitisha
Pia soma
- Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote
- Wakili Peter Madeleka: Mimi na mke wangu tulikamatwa na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, nitawashtaki
- Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani
- Wakili aeleza walivyosota gerezani na mkewe miezi 18, waamua kudai fidia
- Wakili Peter Madeleka umekuwa lini msafi hadi umfundishe Rais kazi?
Makamu mwenyekiti wa Chadema anayeishi na familia yake nchini Ubelgiji kwa hifadhi ya mr Amsterdam bwana Tundu Lisu ameendelea kuhoji sababu za wakili Peter Madereka kuvamiwa na kutekwa na watu wasiojulikana akiwa Serena hotel jijini Dares salaam.
Makamu mwenyekiti wa Chadema anayeishi na familia yake nchini Ubelgiji kwa hifadhi ya mr Amsterdam bwana Tundu Lisu ameendelea kuhoji sababu za wakili Peter Madereka kuvamiwa na kutekwa na watu wasiojulikana akiwa Serena hotel jijini Dares salaam.
GoodHawa ndio watetezi wa watanzania.