Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Mimi si kkamilifu ninamapungufu yangu lakini ouna mambo unakutana nayo unaona hii ni zaidi ya mapungufu.
Sina nia mbaya lakini ni mawazo ambayo nadhani siko pekeangu.
Unaweza muona mtu anaumwa sana, let's say mguu au kitu chochote, ila ukija kusikia chanzo au historia yake unaina kumbe ni kama amelipwa kwa aliyoyafanya.
Pia unaweza ukaona mtu ni fukara sana ukamuonea huruma au hata kumsaidia, lakini kadri unavyoamiliana nae, unajifunza tabia zake ambazo baadae unajikuta tu unasema huenda hizi ndio zinamfanya awe fukara, au labda Mungu amemnyima kipato mana angepata angekua shida sana
Najua hakuna aliekamilika lakini kuna watu mapungufu yao ni changamoto kubwa sana, hasa wakiwa watu wa karibu.
Sina nia mbaya lakini ni mawazo ambayo nadhani siko pekeangu.
Unaweza muona mtu anaumwa sana, let's say mguu au kitu chochote, ila ukija kusikia chanzo au historia yake unaina kumbe ni kama amelipwa kwa aliyoyafanya.
Pia unaweza ukaona mtu ni fukara sana ukamuonea huruma au hata kumsaidia, lakini kadri unavyoamiliana nae, unajifunza tabia zake ambazo baadae unajikuta tu unasema huenda hizi ndio zinamfanya awe fukara, au labda Mungu amemnyima kipato mana angepata angekua shida sana
Najua hakuna aliekamilika lakini kuna watu mapungufu yao ni changamoto kubwa sana, hasa wakiwa watu wa karibu.