Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YESU halinganishwi na kitu chochote kile,[emoji137][emoji137]Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Acheni hizo bana,Ni hatari sana. Watu wanaponywa Ukimwi na Kansa pale.
Wizi mtupu.Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Na degree mbili kutoka reputable institution Dunia...Una maana gani kusema ww sio lay man!?
Kumbuka tu humu jamii forums utawapata wajinga wachache sana wa kuamini upuuzi kama huu.Ni hatari sana. Watu wanaponywa Ukimwi na Kansa pale.
Tafadhali sana usimlinganishe YESU KRISTO na Binadamu wakawaidaNimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Ukisoma vizuri utaona sijamfananisha.Tafadhali sana usimlinganishe YESU KRISTO na Binadamu wakawaida
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Nimesema kinachoonekana kwenye ibada za Mwamposa.Kumbuka tu humu jamii forums utawapata wajinga wachache sana wa kuamini upuuzi kama huu.
Acheni kutuchokoza tunayemjua vyema ( nje ndani ) huyo Tapeli wenu kisha tukaanza kutoa Siri zake na mkaanza Kumchukia na Kumdharau Milele.Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Kama kuna Sala Muhimu ambayo Walokole wengi hawana Time nayo basi ni Baba yetu!Father Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza
Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku
Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako
Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu
Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
Si ungeniuliza ilikuaje mimi kuandika kitu ambacho hakikutokea nimfuraishe naniMhhhh!!.Karagabaooo
Yaa naweza siyo siriUnaweza tushuhudia muujiza wako?
Achana na mwamposa, kanunua mitaa 4 pale makumbusho, na kawahamisha wafanya biashara wote..Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Na ni kielelezo cha maisha ya mwanadamu.Yesu ni maji yaliyo hai.