econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ni hatari sana. Watu wanaponywa Ukimwi na Kansa pale.
Ukimwi gani?. Kansa unaijua?. Mwamposa hana uponyaji wowote zaidi ya maluelue. Sijui nilimwaga maji yakatoka majoka mengi ,au vyura wengi etc. Tuache kudanganya watu.
Yesu Kristo rekodi yake haiwezi kuguswa hata robo ya robo. Mwambie Mwamposa afunge siku arobaini bila kula au akafufue wafu waliokufa siku tatu. Acheni propaganda ule usanini ndio mnaita uponyaji?.