Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Rekodi ya Yesu mbona ilishavunjwa siku nyingi tu
Niambie ni mtu gani amewahi kulisha mikate na Samaki zaidi watu ELFU 5 kutoka kwenye mikate mitano na Samaki wawili, mtaje zaidi zaidi utawataja hawa wauza mafuta ambayo vijana wengi wanaenda kupigia puNYETO na wengine wanafanyia mapenzi km kilainishi hakuna kitu ile biashara km biashara zingine, km ana miujiza na mazingaombwe Mwamposa mwambia kuna Samaki wawili na keki tano pamoja na chupa moja ya maji naomba leo tule na kunywa bila kulipa chochote watu wote ELFU 5 tuliopo humu fanya muujiza uone km hajawajibu ujinga ujinga na anavyojua kuongea kinyakyusa atufege mwakanyenye
 
Kufanya wanaomwamini makubwa kuliko yeye ni majibu ya maombi aliyoomba sio sababu mtumishi yuko smart sana.Hata wewe waweza fanya makubwa kuliko Yesu

Yohana 14:12​

Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Wewe ni MUONGO
 
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Km ni kwa kulipia ili awalishe hio kashaivunja zamani ameshafanya Sana Catering service tu Ila ya kuwalisha bure bila kulipia chochote hajaivunja na hatokaa aivunje na hatofanya maana hana huo uwezo aliekua na uwezo huo ni Marehemu Mzee Regnard Mengi tu kipindi Cha uhai wake alikua analisha watu zaidi ya 5000 bure na hakua nabii wala mchungaji
 
Ufunuo wa Yohana 22:17
[17]Na Roho na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
And the Spirit and the bride say, Come. And let him that heareth say, Come. And let him that is athirst come. And whosoever will, let him take the water of life freely.

maji ya uzima yanauzwa nowadays hakuna cha bure
 
Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.

Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.

Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.

Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.

Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?

Jina la Yesu siku zote tanguliza na herufi kubwa, pili sio mchungaji anayefanya hiyo miujiza, yeye ni binadamu tu, ila anakuombea kwa Mungu na ukiwa na imani unapona.
 
Father Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza

Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku

Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako

Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu

Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
Pole yako.Kwani hata km ni kazi muwezeshaji mkuu ni nani?,si ni Mungu!,Wako sawa kwasababu bila Mungu hiyo kazi niliyonayo inaweza kuharibika muda wowote,pia hiyo kazi naifanya kwasababu ninao uzima,afya na nguvu kutoka kwa Mungu,kumbe Riziki zetu zimetoka kwa Mungu.Unless una jambo jingine.
 
Back
Top Bottom