Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawafahamu watu watatu walionunua maji na mafuta hawakupata nafuu yoyote na sasa wameshatangulia mbele za hakiNamjua alienunua maji ya kutosha, Ila hakuna mabadiliko, hao wa kwenye tv wote tunawaona, Ila uhalisia wake ni ndugu zao watusimulie
Wapi wewe, unajua hata kwenye karata tatu wapo wafuasi wa mchezeshaji wanaojifanya wamekula Pesa kumbe wote wezi tuMimi binafsi imenitokea muujiza wakati naangalia tv yake tena nilitumia maji ya kununua dukani ,cha msingi imani yako itakuponya
Tena ni mwizi anawaibia masikini walio wengi ingefaa afungwe jiwe la kusagia shingoni kisha atoswe bahariniMinamuona tapeli kama matapeli wengine tu
Niambie ni mtu gani amewahi kulisha mikate na Samaki zaidi watu ELFU 5 kutoka kwenye mikate mitano na Samaki wawili, mtaje zaidi zaidi utawataja hawa wauza mafuta ambayo vijana wengi wanaenda kupigia puNYETO na wengine wanafanyia mapenzi km kilainishi hakuna kitu ile biashara km biashara zingine, km ana miujiza na mazingaombwe Mwamposa mwambia kuna Samaki wawili na keki tano pamoja na chupa moja ya maji naomba leo tule na kunywa bila kulipa chochote watu wote ELFU 5 tuliopo humu fanya muujiza uone km hajawajibu ujinga ujinga na anavyojua kuongea kinyakyusa atufege mwakanyenyeRekodi ya Yesu mbona ilishavunjwa siku nyingi tu
Wewe ni MUONGOKufanya wanaomwamini makubwa kuliko yeye ni majibu ya maombi aliyoomba sio sababu mtumishi yuko smart sana.Hata wewe waweza fanya makubwa kuliko Yesu
Yohana 14:12
Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Km ni kwa kulipia ili awalishe hio kashaivunja zamani ameshafanya Sana Catering service tu Ila ya kuwalisha bure bila kulipia chochote hajaivunja na hatokaa aivunje na hatofanya maana hana huo uwezo aliekua na uwezo huo ni Marehemu Mzee Regnard Mengi tu kipindi Cha uhai wake alikua analisha watu zaidi ya 5000 bure na hakua nabii wala mchungajiNadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Kuna ndugu yangu mmoja Mzee alipostaafu akapata mafao akachukua mafao yake yote akaenda kuwapa wachungaji uchwara eti anachangia huduma huku yeye anabaki masikini km sio utahira ni nini ? Yaan ametapeliwa kijinga na hana kwa kwenda kushtakiHakuna miujiza fanyeni kazi
Ufunuo wa Yohana 22:17
[17]Na Roho na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
And the Spirit and the bride say, Come. And let him that heareth say, Come. And let him that is athirst come. And whosoever will, let him take the water of life freely.
Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?
Tunahitaji uthibitisho wa kitabibu, kama ni daktari athibitishe kwetuNi hatari sana. Watu wanaponywa Ukimwi na Kansa pale.
Mwamposa Ni tapeli , nowdays waganga wakienyeji wanavaa sutiSasa huyu msenge kwanini anauza maji wakati Imeandikwa ni bure ana utani na maandiko ?
Ilikuwaje mkuu unaweza kushare nasi kidogo,?Mimi binafsi imenitokea muujiza wakati naangalia tv yake tena nilitumia maji ya kununua dukani ,cha msingi imani yako itakuponya
Pamoja sana mkuuNakubali.
Pole yako.Kwani hata km ni kazi muwezeshaji mkuu ni nani?,si ni Mungu!,Wako sawa kwasababu bila Mungu hiyo kazi niliyonayo inaweza kuharibika muda wowote,pia hiyo kazi naifanya kwasababu ninao uzima,afya na nguvu kutoka kwa Mungu,kumbe Riziki zetu zimetoka kwa Mungu.Unless una jambo jingine.Father Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza
Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku
Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako
Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu
Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
Mtukuze Mungu wa Ibrahimu, ulikuwa unaumwa nini, kwa mda gani, au ulikuwa na tatizo gani lililopata ufumbuzi?
Mkuu unafahamu taratibu za kuproove km muujiza ni wa kweli au uongo?,na km huo muujiza umetoka kwa Mungu au nguvu zingine tofauti na Mungu wa kweli?.Si ungeniuliza ilikuaje mimi kuandika kitu ambacho hakikutokea nimfuraishe nani
Time will tellKweli jamaa ni Bulldozer.
Mungu anamtumia kwa kiwango cha hali ya juu.
Jamaaa anachokifsnya ni kuhakikisha watu waone matatizo yao ni marahisi sana mbele za Mungu.
Embu soma tena alichokiadika, huoni kwamba kuna sentensi ukimtoa yesu?Tafadhali sana usimlinganishe YESU KRISTO na Binadamu wakawaida
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app