Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mungu nipo nae sana tu,ananipenda nami nampenda,na sio kumpenda tu,bali namtumikia.Sawa,
Natamani siku Moja Mungu ashuhurike na wewe then urudi hapa kutupa mrejesho [emoji846]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu nipo nae sana tu,ananipenda nami nampenda,na sio kumpenda tu,bali namtumikia.Sawa,
Natamani siku Moja Mungu ashuhurike na wewe then urudi hapa kutupa mrejesho [emoji846]
HaswaKama kuna jambo zuri ulilolipaa kwa Mwamposa ni vyema ukalisema hapa ili wote tuone na kujifunza.
Kunyamaza nalo na kufurahia kivyako haina faida yoyote....ni sawa na kushona suti nzuri na kuovalia chumbani na kuivua bila kutoka nayo nje ili watu wakuone.
Uzuri wa jambo huthaminishwa na hadhara.
Yupo na alishauriwa na wenzake kwenye Mambo yao ya vicoba kwamba una tatizo hili emu nenda kajaribu kwa Mwamposa utapona weee mpaka leo hakuna alichopona hali ipo vile vile ni kuugulia tu kila inapoitwa leoEheee!!,Umeona eenhh?!!,Sasa huyo ndugu yako ndio mgonjwa wa ukweli.Huyo akipona ugonjwa huo kwa maombezi ya Mwamposa tutasema ni muujiza kwasababu 1.Hilo ni jambo kubwa 2.Wanasayansi wameshindwa kutibu,na hivyo ni itakuwa ngumu kuelezea kisayansi jinsi alivyopona na 3.Watu tutakuwa tumeiona kweli nguvu ya Mungu kupitia kwa huyo Mwamposa,tofauti na hapo itakuwa tunadanganyana tu,na kuchezeana makidamakida.
Samahani,Mkuu hujatuelezea ilikuwaje hivi unamsawishi vipi mtu KWA kumpa sentensi nyepes kama hii nilikuwa kama mtu fulani baada ya hapo kakata shauri the rest is history sasa ndo nn tuambie mm nilipitia MOJA mbili tatu katika hili kweli ni muujiza ILI tujifunze
Sawa mkuu 😊😊😊😂😂😂🤣🤣Kama kuna jambo zuri ulilolipaa kwa Mwamposa ni vyema ukalisema hapa ili wote tuone na kujifunza.
Kunyamaza nalo na kufurahia kivyako haina faida yoyote....ni sawa na kushona suti nzuri na kuovalia chumbani na kuivua bila kutoka nayo nje ili watu wakuone.
Uzuri wa jambo huthaminishwa na hadhara.
Amewachota akili km kweli Mwamposa ni mwanamiujiza mwambie aende Muhimbili au Amana akawanyanyue watu mahututi vitandani watembee wakiwa wamepona mazima, akifanya hivyo kuanzia siku hio Mimi nitakua mpiga DEBE wake kila angle ya duniaNacho weza kusema Kwa Sasa kama MWAMPOSA ni SCAM hawezi kuwapanga watu wote wale Kuna maelfu na maelfu ya watu Mungu kawatendea kupitia madhabahu ya Arise & Shine...
Nikushauri tu siku nyingine ukiwa unampgia mtu promo jaribu kutengeneza uongo mzuri unaoedana na ukweli, ona watu wanaoshuhidia wanachofanya mimi nilikuwa mlevi wa kutupwa, mm nilikuwa jambazi, mm nilikuwa malaya na mengine mengi ILA wewe umeshindwa kumtetea mtu ambaye watu wanamshambulia ni tapeli hivyo tunasema rudi akakuelekeze kupanga maneno, halafu sijui ni wewe ulisema siyo layman?Samahani,
Huwa sipendi kuweka maisha yangu in public Kwa sababu zangu binafsi ambazo sio nzurii kuzielezea hapa......
Nacho weza kusema Kwa Sasa kama MWAMPOSA ni SCAM hawezi kuwapanga watu wote wale Kuna maelfu na maelfu ya watu Mungu kawatendea kupitia madhabahu ya Arise & Shine...
Cha kukushaur kama itakupendeza jarib kwenda pale na ajenda yako yeyote...
Najua utakuja kutupa ushuhuda hapa juu ya Matendo makuu ya MUNGU 😊
Nipo barabarani muda huu ila nahaidi nikipata wasaa ntaweka kisa kimoja ambacho kilinifanya nika be introduced pale Kwa MWAMPOSA enzi izo alikua Kule MWENGE,Mkuu mimi nipo curiosity kujua MUNGU alikutendea nn hapo KWenye keki na maji KWA mwamposa embu naomba. Unielekeze kidogo ushuhuda wako huenda ukachange maisha ya watu wanaosoma wengi hapa
Atwambie alietembea juu yamajiHaya twambie aliyelisha watu 5000 kwa mikate 5 tu
Imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wakoAmewachota akili km kweli Mwamposa ni mwanamiujiza mwambie aende Muhimbili au Amana akawanyanyue watu mahututi vitandani watembee wakiwa wamepona mazima, akifanya hivyo kuanzia siku hio Mimi nitakua mpiga DEBE wake kila angle ya dunia
Ulipona Cancer ya Kongosho ?Nipo barabarani muda huu ila nahaidi nikipata wasaa ntaweka kisa kimoja ambacho kilinifanya nika be introduced pale Kwa MWAMPOSA enzi izo alikua Kule MWENGE,
Ni kisa kirefu ntakiandaa hapa Kwa faida ya wengi kama mlivyo omba....
Wasalaam
Nawe huna akili kama watu walimwomba yesu awafundishe kusali nayeye akawambia mkitaka kusali semen hv halaf ww unasema niutapeliFather Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza
Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku
Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako
Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu
Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
Hakuna kumjaribu Yesu alikua anafanya miujiza bila kujaribiwa kuna jamaa alikatwa sikio akalirudisha km lilivyokua, haya mwambie Mwamposa akaamshe wale wagonjwa Muhimbili wapone waishi au yeye ajenda yake ni ipi si kuwakomboa watu au kufanya nini ?Imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wako
Mchezo huu hauitaji hasira..humu tumekulia makuzi tofaut tofaut pia Imani tofaut tofaut.....Nikushauri tu siku nyingine ukiwa unampgia mtu promo jaribu kutengeneza uongo mzuri unaoedana na ukweli, ona watu wanaoshuhidia wanachofanya mimi nilikuwa mlevi wa kutupwa, mm nilikuwa jambazi, mm nilikuwa malaya na mengine mengi ILA wewe umeshindwa kumtetea mtu ambaye watu wanamshambulia ni tapeli hivyo tunasema rudi akakuelekeze kupanga maneno, halafu sijui ni wewe ulisema siyo layman?
Tulishafanya trials zaidi ya kumi! Na sadaka zetu akala lakini hamna kipya zaidi ya shuhuda za janja janja, na kuibua makongamano kila uchao.. yule bwana amejua sana kula na vipofu..Ninae andika hapa sio layman....hata kama hauna Imani...jarib kufanya trial hapo kawe Kwa MWAMPOSA.......
Nenda na ajenda yako yoyote pale #Asap
Utajibiwa mpaka ushangae....
Tulishafanya trials zaidi ya kumi! Na sadaka zetu akala lakini hamna kipya zaidi ya shuhuda za janja janja, na kuibua makongamano kila uchao.. yule bwana amejua sana kula na vipofu..
Hatujakataa hivi unanielewa hilo??? Tumekuomba jaribu kushare nasi tujifunze unasema wewe nenda tu hivi hata wewe kweli unaona kitu cha kumuelezea mtu hiyo sababu? Nenda tu!! Umenishangaza umesema utakuja kushare sema lini mimi takukimbushaMchezo huu hauitaji hasira..humu tumekulia makuzi tofaut tofaut pia Imani tofaut tofaut.....
Naona nacho kifanya hapa ni sawa sawa na KUUZA BIBLE DUBAI
Wengine tumetendewa tumeshuhudia wengi wakitendewa na Mungu kupitia madhabahu ya Arise & Shine..
Muda huu nipo natimiza majukumu ya taifa mpk leo saa 3 usiku Mwenyez MUNGU akijaalia nta share...Hatujakataa hivi unanielewa hilo??? Tumekuomba jaribu kushare nasi tujifunze unasema wewe nenda tu hivi hata wewe kweli unaona kitu cha kumuelezea mtu hiyo sababu? Nenda tu!! Umenishangaza umesema utakuja kushare sema lini mimi takukimbusha
Mwamposa ni Mzee Samunge aliechangamka aliwachota watu akili Malaki kwa maelfu na mamiliion mpaka nje ya mipaka ya Nchi Ila kilichofuata ni bila bila, tapeliMchezo huu hauitaji hasira..humu tumekulia makuzi tofaut tofaut pia Imani tofaut tofaut.....
Naona nacho kifanya hapa ni sawa sawa na KUUZA BIBLE DUBAI
Wengine tumetendewa tumeshuhudia wengi wakitendewa na Mungu kupitia madhabahu ya Arise & Shine..
bladifekeni....unalinganishwa miujiza ya Kristo na mazingaombwe, utapeli na ushirikina wa kinigeria. ulaaniweNimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?