econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwanini huwa hawarekodi hao nyoka wanaotoka baada ya kumwaga maji?
Huwa wanakuja na picha kwenye simu. Mara mwingine alijisaidia haja kubwa mjusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini huwa hawarekodi hao nyoka wanaotoka baada ya kumwaga maji?
Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?
Mwamposa ni retailer mkubwa wa maji hapa Dar tena kwa bei anayopanga yeye. Bila control baada ya miaka 10 kila nyumba itakua na nabii.
Kwanini sio video wakati akitapika?Huwa wanakuja na picha kwenye simu. Mara mwingine alijisaidia haja kubwa mjusi.
Ikifika zamu ya kwenda Shakahola 😂 watakwenda wote🚶🚶Acheni propaganda. Maelfu gani unaongelea?. Yule akija Dodoma watoa ushuhuda wanakuwa watu wa shinyanga na akienda Tabora watoa ushuhuda wa musoma na kahama. Sio wa hapo hapo. Tuache kutumika na shetani hukumu yake ni mbaya Sana.
Niko Morogoro sijawahi kwenda Kawe ili kupitia maombi ya usiku na mafuta nimepona vidonda vya tumbo,nimeiokoa familia yangu hasa uzazi kwa mama watoto,amini utaona
Nguvu za Mungu zinafanya kazi
Mimi nilitapika wembe na kunya jongoo mzima. Nikapona tezi dume.
Mkuu mafuta uliyapataje? Na hujawahi kwenda laws?
Kwanini sio video wakati akitapika?
Ikifika zamu ya kwenda Shakahola 😂 watakwenda wote🚶🚶
Kila mkoa kuna vituo wanauza, kwenye radio okoa Morogoro,nanenane kwa wale wanaopafahamu,uliza utaambiwaHapo umemkata hata kujibu.
Miujiza ya kutema viwembe sijui kutema uzi ndio miujiza, hujawahi hudhuria show za mazingaombwe mtu anatemeshwa hivyo vitu live live live kwenye mazingaombwe, miujiza km kweli yeye anayo akawaponye wagonjwa mahospitalini wapone wote watembee wakiwa na afya tele sio kujifanya anatemesha watu matutu kisha anapata pesa za ubwete, wenye akili hawawezi kukubariana nae ile sio miujiza ita maluweluwe au mazingaombwe
Unamjua Pastor Kanyari wa kenya,?? Mcheki Youtube huyo Mwamposa cha mtoto
Acheni propaganda. Maelfu gani unaongelea?. Yule akija Dodoma watoa ushuhuda wanakuwa watu wa shinyanga na akienda Tabora watoa ushuhuda wa musoma na kahama. Sio wa hapo hapo. Tuache kutumika na shetani hukumu yake ni mbaya Sana.