Inafikirisha sana sababu za Yanga kuachana Gamondi

Inafikirisha sana sababu za Yanga kuachana Gamondi

Ila aibu sana mmefungwa na timu ya chini unatoa wapi ubavu wakuongea ongea hivyoo sisi Simba zaidi ya yanga hakunaga , watu wanaotufunga ovyo tena kama tabora tulieni vichwa nyie
Umeanza lini kufuatilia mpira?
Mwaka jana simba ilitolewa na mashujaa kombe la azam au hukumbuki?
 
Ila aibu sana mmefungwa na timu ya chini unatoa wapi ubavu wakuongea ongea hivyoo sisi Simba zaidi ya yanga hakunaga , watu wanaotufunga ovyo tena kama tabora tulieni vichwa ny
Bora tufungwe na tabora ila sio simba
 
Wewe ulimpenda Gamondi kuliko Yanga...
Akina Hersi ni wapumbavu
Liverpool tulikuwa tunaongoza ligi ila tulifungwa na LUTON TOWN
Timu iliyo mkiani.

Man city anapoteza na kudraw mechi 3, 4 mfululizo ila huoni wakimfukuza Kocha.

Aseno anafungwa na timu zilizopo mikiani
Yanga ni nani hasa wasifungwe?
Hata timu bora huwa zinafungwa.

Engineer na genge lao la wahuni
Yote ni mapumbavu popote yalipo.
...
Ligi za tz za kipumbavu sana
 
Kama gamondi kuna ukweli alikuwa akiwaambia hawaupendi basi huyu wa sasa ndio walimelikanyaga vilivyo
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-751034406.jpeg
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Una matatizo makubwa wewe.
 
Acha ujinga na kupotosha una mazivu ww
Ndo utwambie ww sababu za kumfukuza ni zipi km anapotosha tupe mwanga ww

Ila kwa weng kufukwazwa kwa gamondu ni km kukurupuka tu kwa viongozi na mashabiki wanaotaka furaha toka kwenye mpira wakat furaha inapatikana tkt vtu vingi tu
 
Mleta Mada acha U-Bogus


Kwamba Gamondi (mume wenu)alikuwa ni mwalimu Bora kuliko wote waliopita Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) asifukuzwe yeye ni mwanahisa pale Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) yeye hagusiki pale Yanga amekuwa nani?

Kwamba huyo Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya aachwe pale Yanga kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya tangu kuanza Kwa msimu huu aachwe asifukuzwe kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) amekuwa akitofautiana na wachezaji tena kutukanana hadharani ila hamtaki afukuzwe,yeye nani?

Kwamba Gamondi (Mume wenu) pamoja na timu kushinda kimazabe mazabe hamtaki afukuzwe,yeye nani pale Yanga?

Kama hamjaridhika Mume wenu kutimuliwa pale Yanga,mfuateni alipo muungane naye!
Wajinga bado weng jipo maswali ama tolia maelezo why kafukuzwa tupe sababu sio matusi

Matusi ni upungufu wa akili
 
Swala la Gamondi kuondoka limewauma sana mashabiki wa Simba kuliko hata wana Yanga wenyewe. Walifurahia mwenendo wa timu ya Gamondi ili wao wachukue nafasi ila kuamka mapema kwa viongozi kuwewafanya waweweseke.
 
Ndo utwambie ww sababu za kumfukuza ni zipi km anapotosha tupe mwanga ww

Ila kwa weng kufukwazwa kwa gamondu ni km kukurupuka tu kwa viongozi na mashabiki wanaotaka furaha toka kwenye mpira wakat furaha inapatikana tkt vtu vingi tu
Kwani mpira unachezwa chumbani? Mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona.
1) mambo ya nje ya uwanja.
Hapa kuna mambo ya starehe, kocha ni mtu wa starehe sana na ikapelekea wachezaji nao kuwa watu wa starehe. Azizi Ki na wenzie starehe ya kwenda klabu kwa sana. Kama tu kocha mtu wa bata ni nani atasimamia nidhamu?

Ukiachana na starehe, Gamondi ana asili ya ujeuri na ubinafsi. Haangalii maslahi ya timu bali ni misimamo yake yeye ndio kila kitu. Kuna mtu professional kaachwa kisa Gamondi.

Sifa zilizidi mno jambo ambalo liliua hali ya upambanaji kwa wachezaji wa Yanga. Ukiangalia msimu uliopita uchezaji wa Yanga ulibebwa na morali kubwa ya wachezaji kuwa na kiu ya kupata magoli mengi. Ukifungwa goli la mapema aisee umeisha, hesabia goli 3+ ila angalia msimu huu hata timu ipate goli kipindi cha kwanza unaweza kukuta mpira ukaisha kwa goli hilo hilo moja. Timu iko pungufu lakini vigoli ndio hivyo hivyo hiyo yote ni kutokana na wachezaji kuridhika.

Ukisikiliza press ya Gamondi yeye ni kujisifia na kusifia timu yake pamoja na wachezaji wake kuwa ni bora, hapa anaua morali ya timu na wachezaji wanakuwa ni watu wa ku relax.

2) mambo ya ndani ya uwanja.
Hapa kuna ishu ya upangaji wa kikosi na mbinu zake za mpira.

Tuanze na upangaji wa timu, Yanga ina utitiri mkubwa sana wa wachezaji wenye kufanana ubora japo hawalingani ila sio timu ya kushindwa kuifanyia rotation na ukapata matokeo mazuri kwa timu zilizo daraja la kati na daraja ya chini.
Gamondi kikosi ni hiko hiko, yeye na Aziz Ki, Azizi Ki na yeye wakati ana watu wengi tu kwenye kikosi.
Angalia Mkude yule aliyekiwasha dhidi ya Mamelodi, je Mkude yule yuko wapi? Mtasema haingii kwenye mfumo wa Gamondi, lakini je mbona anapopewa nafasi ya kucheza huwa anauwasha ipasavyo?

Msimu huu kaletewa bonge la kiraka, Abuya aisee huyu jamaa ni mali haswa lakini Gamondi anashindwa kumpa nafasi. Mechi ya Tabora kaona hana mabeki na Kibwana yupo benchi ila kaona bora Aucho akawe beki kuliko Kibwana kucheza.
Tunaona sura ni zile zile kila mechi halafu sura zenyewe zingine zinaonesha kuchoka zingine zinaonesha kushuka viwango lakini yeye kakomaa nao. Kushinda goli moja moja ilikuwa ni dalili ya kushuka kwa timu wala sio kukamiwa. Msimu uliopita timu zilikuwa zinakuja kwa kukamia na kupaki basi lakini walikuwa wanalazimishwa kufanya makosa kwa kupelekewa moto mwanzo mwisho kwa kasi na ukiruhusu goli umekwisha.
 
Mleta Mada acha U-Bogus


Kwamba Gamondi (mume wenu)alikuwa ni mwalimu Bora kuliko wote waliopita Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) asifukuzwe yeye ni mwanahisa pale Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) yeye hagusiki pale Yanga amekuwa nani?

Kwamba huyo Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya aachwe pale Yanga kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya tangu kuanza Kwa msimu huu aachwe asifukuzwe kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) amekuwa akitofautiana na wachezaji tena kutukanana hadharani ila hamtaki afukuzwe,yeye nani?

Kwamba Gamondi (Mume wenu) pamoja na timu kushinda kimazabe mazabe hamtaki afukuzwe,yeye nani pale Yanga?

Kama hamjaridhika Mume wenu kutimuliwa pale Yanga,mfuateni alipo muungane naye!
mimi ni simba lakin umecoment kishamba sana na kizwazwa sana inaonyesha ww ni shabiki wa mpira lkn haujui mpira
 
Back
Top Bottom