Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Kushindwa kupo tu, lakini si kwa awamu hii ya sita! Hii ndo imeshindwa kila kona kiasi cha kutia hasira ndugu zangu!
Mtu akiniambia kwamba, awamu hii ipo kwa ajili ya wananchi wote, nitamuona hana akili sawasawa,
Mpaka hapa tulipo, ni kwa lipi awamu hii imefanya hadi tuseme, oooh! Kweli bhana, kwa hili limefanywa ili wananchi walioko huko Nanjlinji wawe na maisha angalau yenye ubora na unafuu, hivi, ni juhudi zipi zinafannywa na uongozi awamu ya sita ili kuwaondolea wananchi ukali wa maisha?
Hao machawa nao wanatuletea habari za leo mama kasema hiki, lakini ni kipi kimekuwa focused kwa wananchi, ni hakuna, ni habari za kupanda kwa gharama za maisha tu ndo zinatawala kila uchao
Nashindwa kuelewa ikiwa awamu ya sita ipo kweli kwa ajili ya kuwatetea wananchi walio wengi ama kuwatengenezea barabara ya umasikini wa kudumu!
Mtu akiniambia kwamba, awamu hii ipo kwa ajili ya wananchi wote, nitamuona hana akili sawasawa,
Mpaka hapa tulipo, ni kwa lipi awamu hii imefanya hadi tuseme, oooh! Kweli bhana, kwa hili limefanywa ili wananchi walioko huko Nanjlinji wawe na maisha angalau yenye ubora na unafuu, hivi, ni juhudi zipi zinafannywa na uongozi awamu ya sita ili kuwaondolea wananchi ukali wa maisha?
Hao machawa nao wanatuletea habari za leo mama kasema hiki, lakini ni kipi kimekuwa focused kwa wananchi, ni hakuna, ni habari za kupanda kwa gharama za maisha tu ndo zinatawala kila uchao
Nashindwa kuelewa ikiwa awamu ya sita ipo kweli kwa ajili ya kuwatetea wananchi walio wengi ama kuwatengenezea barabara ya umasikini wa kudumu!