well saidWatu bwana,juhudi za mtu wote tunaziona.Anavyojituma na kuwekeza awe brand imara wote tunaona.Leo akianza kupata feedback unaona anafanya figisu?!
Makampuni makubwa hayana uswahili,pale lengo ni biashara.Hawako tayar kumfurahisha mtu au kikundi fulani cha watu,wao muhimu kwao ni kutangaza bidhaa yao na effectiveness ya Tangazo kwa hadhira.
Wakati this Kid ameamua kuwa na mameneja watatu wengi waliona haina haja,leo haja imeonekana watu mnaita figisu.
"Hard work pays" ndo msemo mzuri kufungia maelezo yangu
Huu ni wivu, uchawi na unafikiImenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
We subiri utaona kitakapo zinduliwa mtasema anafanya figisu diamond yupo smart, ataendelea kuwakimbiza wabongo fleva wote mpaka wajieleweMuongobtu yule
Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Asilimia kubwa wanaochukia mafanikio ya diamond ndo wamejificha kwa alikibaKiba akatangaze bidhaa za kidoti
Eti ana fan base kubwa?!
Iko wapi?!
upo dar?Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Nimecheka sana hii commentupo dar?
Nipo na mama akoupo dar?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"nampigiaga na zari mama latifa kipenzi changu...."
Hii sehemu huwa inanikosha sana utadhani nimeimbiwa mie
Una wivu wa kike, utasutwa mjini hapa.Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Anajaribu kuzunguka lkn anajikuta katokea alipoanzia safari. Wanye akili timamu wamemnasaSiku nyingine uwe unaenda direct to the point...
upo dar?
Ha ha ha ha ha hili joto hasira....... In Jay dee's voiceNipo na mama ako
Wanaamini kila anachopata diamond kiba anastahili zaidi wanasahau kwamba hakuna kinachokuja bure bila kujituma na kuwa mbunifu, wataendelea kumuona kwenye tv na wakizima watamsikia kwenye radio wakizima na hiyo watamuona kwenye mabango barabarani diamond haepukikiAina ya mashabiki wa Alikiba walivyo , pathetic!
Ndio. Andamana basi kama unaona mondi hastahili kupata kile anachopata. wivu tu umewajaa sijui mkoje? Kama vitoto vya kikeHIHIHIHIH SASA KAMA UNA JICHO MOJA NDO UNATOBOLEWA NA LILILOBAKI SIO?
unasemaje wewe hebu tulia uelewe nilichoandika nimemaanisha nn halafu ndo uhare wacha genye za kitotoNdio. Andamana basi kama unaona mondi hastahili kupata kile anachopata. wivu tu umewajaa sijui mkoje? Kama vitoto vya kike