Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Watu bwana,juhudi za mtu wote tunaziona.Anavyojituma na kuwekeza awe brand imara wote tunaona.Leo akianza kupata feedback unaona anafanya figisu?!
Makampuni makubwa hayana uswahili,pale lengo ni biashara.Hawako tayar kumfurahisha mtu au kikundi fulani cha watu,wao muhimu kwao ni kutangaza bidhaa yao na effectiveness ya Tangazo kwa hadhira.
Wakati this Kid ameamua kuwa na mameneja watatu wengi waliona haina haja,leo haja imeonekana watu mnaita figisu.

"Hard work pays" ndo msemo mzuri kufungia maelezo yangu
well said
 
  • Thanks
Reactions: me1
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Huu ni wivu, uchawi na unafiki
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....

Huu ni uongo mtakatifu na umemuingiza kiba ili thread yako isipotezewe na wadau....

Vee money ni balozi wa colour paints, samsung na vitu vingine kibao ila tu havina airtime kama voda...unakumbuka wakati vee akiwa airtel ww

Navy kenzo (airtel).. Shetta (star times), shaa (kuna kipindi alikuwa wa pedi za freestyle) , lady jaydee ( kuna kampuni ya mafuta ya foreigners ila siijui vyema )

Sio lazma kila msanii akipewa ubalozi aje kwako msajili wa mabalozi
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....

Hahahahhaha NA BADO
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
upo dar?
 
Watu bwana utamlinganishaje Kiba na Diamond kwa mfano? kwa lipi hasa.Siyo shabiki wa mwanamziki yeyote na sipendi mziki kivile lakini when it comes kwa huyu dogo ni habari nyingine.Kijana anajituma sana.Najaribu kufikiri watu tumesota kwenye shule hadi Phd tunazo lakini huwezi pata confidence ya kuhojiwa na chombo cha habari kikubwa kama BBC kwa kizungu ni aibu maana hakuna unachojieleza kikaeleweka lakini kijana efforts zake anamwaga kizungu wasomi na phonology zenu na syntax na magrammar ya vyuo vikuu hakuna kitu.
Anastahili kabisa kwa jitihada alizonazo mleta mada unaonekana una chuki binafsi
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Una wivu wa kike, utasutwa mjini hapa.
 
Aina ya mashabiki wa Alikiba walivyo , pathetic!
Wanaamini kila anachopata diamond kiba anastahili zaidi wanasahau kwamba hakuna kinachokuja bure bila kujituma na kuwa mbunifu, wataendelea kumuona kwenye tv na wakizima watamsikia kwenye radio wakizima na hiyo watamuona kwenye mabango barabarani diamond haepukiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom