Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Kiba hatakagi show off za kina domo mara cjui Nina nyumba ngpi mara nina nyuma SA yy mambo yake kimy kimy....hana ulimbukeni wa maisha
Nyumba uzione tu kwny picha mkuu kuwa nayo ni shughuli kubwa sana
 
Duh..Kweli Nimeamini,Unapoianza Safari,Watakutia Moyo,Unapoonesha Mafanikio,Wanainua Vikwazo,Siyo Wote Wafurahiao Mafanikio Yako

Go Diamond...go baby,

NavyKenzo Wamekuwa Airtel Ambassadors, Hamjaona
*Lady Jay Dee Balozi wa Oriflame Hamkuona
*Alikiba Wildaid Ambassador Hamkuona
*MwanaFa Samsung Ambassador Hamkuona
*Vanessa Mdee Samsung Galaxy J Ambassador Hamkuona...#Don Hate The Player,Hate The Game...Dai akiwa Brand Ambassador Anawatendea Haki Hata waliompa Tender,Hawa Wengine Wanachukulia Poa,Unadhani Next Time Watapewa Tena?You should Know How To Brand Yourself My Dear Kiba(Mtoa Mada
 
Kitu ambacho sitaki kuamini ni kwamba wasanii wengine hawayafanyi kama anayoyafanya diamond...... Kama hilo swala uliloliyolea mfano. Ni kweli wengine hawafanyi?
Wengine kama nani? Kuna wasanii kibao tu ni brand ambassadors wa kampuni mbalimbali-- sasa hao ambao unaona wanaonewa ni akina nani?
 
Ukitaka kujua madudu ya Domo tizama sura ya Mama yake tu, yule Mama anaruka na sahani usiku, si Muha yule. Wewe jiulize, Domo ana muziki gani wa kuwazidi vijana kama Barnaba, Amini, kina Aslay na wengineo? Ndiyo maana watu wanasema chini chini kuwa Domo anamezeshwa kizizi na Mamaye.
Tukimtazama mama yako sijui tutapata jibu gani
 
Dada mbishi wewe...

Wasanii wengine kusema wanafanya anachofanya Diamond, bado hawafanyi japo kuna wachache wanaojitahidi kwa mbaaaali..

Tofauti na jina kubwa alilonalo diamond na mafanikio yake kimuziki, jamaa kwenye social media anafuatiliwa sana na ndio sehemu mojawapo ya kutangaza bidhaa.. Chukulia mfano facebook alikiba anamashabiki elfu themanini na kitu 80,000+ wakati Diamond anamashabiki zaidi ya milioni moja, laki na tisini 1,190,000+, ukija instagram diamond anawatu milioni mbili, huku alikiba anawatu milioni moja kama ni kuchagua kampuni itamkimbilia yupi???? labda wajivishe ubasata ndio watakimbilia kwa alikiba, otherwise HAWAWEZI

Umeona picha alipokuwa anasaini mkataba wa Red gold tomato sauce??? Amesaini kwenye ofisi zake mwenyewe za WCB wasafi, sasa swali kwako msanii gani anayo ofisi angalau hata iwe ya kutisha kwa wadau kipindi wanapo bargain price??? HAKUNA

Uliliona tangazo la voda? Kuanzia audio, video, photoshoot, vyote vimefanyika kwenye ofisi zake za WCB kitu kinachoonesha ni kwa kiasi gani brand ilivyojikamilisha, na baada ya hapo video ikawekwa youtube kwenye account ya diamond yenye mashabiki zaidi ya 260,000+ akiwa msanii wa tatu Afrika baada ya psquare na davido, huku tanzania hakuna msanii aliyefikia hata mashabiki 50,000 na ndani ya video kuna added advantage ya kuonekana kwa Zari, Tiffah na mama Diamond, Je kuna familia ipi ya mwanamuziki wa bongo wenye publicity inayokaribia familia ya Diamond??? HAKUNA.. Kitaani watu wanamfahamu princess tiffah vizuri kuliko hata baadhi ya mastaa

KAMA ULIYAFICHA MADESA YAKO SEHEMU NENDA KAFEKENYUE, MAJOR AIM OF BUSINESSES IS TO MAKE PROFIT SASA SIJUI UNATAKA BIASHARA IYUMBE KISA TEAM ZA KIJINGA?
Wewe nawe ..........hata kwenye business lazma uwe na alternatives na si kutegemea kitu kimoja.....tatizo ni poor market strategy.
 
Tatizo unajifanya huelewi wakati unaelewa! Hivi condition niliyoweka hapo ni kuwa celebrity au nimesema msanii mwenyewe kuwa brand in advance?!
Sema hatuelewani.........
 
Sasa huoni kwamba unatuonea Sister? Yaani u ambassador watoe Vodacom na Coca-Cola uje kutusimanga sisi; aaaaaaargh!
Sijamsimanga mtu yoyote......ndiyo maana ya mada ni kujadiliwa...........ila nyie mnafanya ushabiki......mie sina team hata moja.
 
Unajua Beyonce hajafollow mtu kwny Instagram lkn mbn makampuni yanamtafuta so unataka kunambia na yy ana poor social interaction
Nilijua tu utatoa mfano wa Beyonce huku ukisahau kwamba Jay Z - Beyonce Family tayari ni brand by itself!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom