Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf inaboa siku hizi kwa comments kama hizi..very boring aiseChief mkiwa wanaume wote ni kipi kinakufanya ufiche mkuyenge? Wanaume tuko tofauti sana na ke. Hasa kwenye kukojoa ingekuwa kunya sawa ila kukojoa? Hapana bro utakuwa na kibamia 😀😀😀
Daah!Sitaki saa nakojoa mtu awe nyuma yangu ananisubiria nimalize huku anafungua zipu kujiandaa kukojoa.
Dharula❌❌Mimi mara nyingi nikiwa na dharula kama hizo naingia chooni moja kwa moja..... mwanadamu asiyejali faragha ni sawa na hayawani.....
Si sahihi kuoneshana sehemu za Siri hadharani...... wakati mwingine unajikuta upo mstari na wajukuu kabisa....NOO
Kulala wanaume wawili chumba kimoja kwa ajili ya kupunguza gharama au kama ni ndugu wala sio ishu, tatizo wabongo wengi wana allergy(mzio) na ushoga na viashiria vyake vya aina yoyote.Sisi wasukuma sio issue kwanza tunaoga Hadi bwawani na ziwani Kwa pamoja Wala hakuna shida.
Ninyi ndo mmesababisha hata tukienda loudge tukiwa wanaume wawili eti tulipie vyumba2.
moshi (New Castle hotel)Nilikataa nikamwambia kama atalala Bure sawa hicho chumba sitalipia
Yaani mdogo wangu nisilale nae?
Yeah nilimwambia mkuu kama unataka tulale Kila mtu chumba chake basi hicho chumba kimoja sitalipia haiwezekan nisafiri na mdogo wangu kutoka mbali kote huko wewe pekee ndo usiniamini hii haipo.Kulala wanaume wawili chumba kimoja kwa ajili ya kupunguza gharama au kama ni ndugu wala sio ishu, tatizo wabongo wengi wana allergy(mzio) na ushoga na viashiria vyake vya aina yoyote.
Hii miundombino bora sana,sema ndo uhalisia hatuwez kuwa kwasababu ya ustaarabu mdg wa wanaojenga
SijakuelewaDharula❌❌
Umeshawahi kuona Marekani, UK, France, German wakifanya maonyesho ya silaha kwenye siku zao za kitaifa?Kwetu sisi wenye mguu wa mtoto ndio maeneo yetu hayo hakuna moment nakuwa nafuraha kama hyo nyie wenye vibamia na wasiotahiriwa ndio mnajificha
Nenda ukiwa umekosoa nyumbani kwako mkuu!Vyoo vya matumizi ya umma hasa kwa ajili ya kukojoa katika bar nyingi na migahawa ya bus za abiria Tanzania vina changamoto nyingi sana upande wa sinki za kukojolea.
Kuna mahali bar kubwa au mgahawa mkubwa sana na wateja wengi lakini kuna sinki mbili tu za kukojolea kwa hiyo wateja chooni mnapanga mstari kusubiriana, kuna mahali sinki ziko karibu sana yani hata ukijikung'uta baada ya kumaliza kukojoa unamrushia mwenzako mkojo, kuna vyoo unaingia nafasi ndogo sana huko ndani ya vyoo inabidi kutembea kiubavu kupishana lakini pia unakojoa wengine wanakusubiria mgongoni umalize!
Mazingira kama haya ni kudhalilishana na kuambukizana UTI tu. Wamiliki wa bar na migahawa hasa ya bus zingatieni maslahi ya afya za wateja wenu na boreshini mazingira ya vyoo. Pia idara ya afya ya jamii ya serikali timizeni wajibu wenu wa usimamizi na udhibiti.
View attachment 3095401
Kote kapita kaona akabanane na jamaa!
Watu wanaokojoa hapo kwenye hayo masinki pichani ni wachafu sana imagine wote wanarudi kwenye gari na mikojo na inaonekana ndio uanaume!.Kuna watu hawajui maana ya faragha.
Ndio maana Muslims wanajiendea tu straight chooni, kukojoa na kujisafisha.
Utupu wa mtu ni faragha ya mtu, inapaswa kuonwa na mke wa mhusika tu, kwa wengine labda itokee dharula.
Naona kama unakebehi vile. Hivyo vibamia wamejiumbia wao? Mbona mnakosa akili kiasi hiki. Yanini kumkebehi mtu juu ya maumbile aliyojaliwa na Muumba?Nakazia.
Wanaohangaika kuficha ficha ni wenye vibamia 😂😂
Huyo wa stati la bluu atakuwa chakula,hapo kajisogeza karibu ili achungulie.