Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mada ina shida,vita imehamia kwenye vibamia united,yaani watu wamechangua na hatimae wameenda kunako kibamia united,lakini Mimi mfano Huwa naenda direct toilet kuepusha mkojo ruka kurudi juu na kusababisha shida zaidi.Sio sahihi kujidai hivyo mbele ya wanaume wenzako, labda kama kungekuwa na mchanganyiko wa wanawake wakuone wakutafute baadaye.
Shida mawazo ya kishoga watu wengi yamewajaa sana. Wakikuona unaingia loudge basi unaenda dinyana ukiingia na mwanaume mwenzio hawawazi kitu ingine zaidi ya huo upuziHahah umenikumbusha jamaa zangu walienda Zenji sasa ile kutafuta lodge muhudumu anawauliza vipi hadi asubuhi au show time.
They were like What The Fck?!!!!
Nakubaliana nawewe. Mimi Hadi Leo hii nikisema niende ziwani naoga vzr tu Sioni shida kabisa mwanaume mwenzangu kuona mkuyungu wangu.Watu tuliokulia ziwani, tulioga wanaume watupu.
Kuonana nyeti si kesi.
Vijana waliokulia chini ya shower wakificha vidudu vyao ndo wana-stress mkuu.Nakubaliana nawewe. Mimi Hadi Leo hii nikisema niende ziwani naoga vzr tu Sioni shida kabisa mwanaume mwenzangu kuona mkuyungu wangu.
Huko tunakofikiri ni mbali mnoo
NakubaliVijana waliokulia chini ya shower wakificha vidudu vyao ndo wana-stress mkuu.
Kule ziwani sisi poa tu.
Inabidi watu wa bar na migahawa watengeneze sehemu za wazi pia kwa ajili ya watu wa ziwani kukojolea, mnakojoa mmezunguka mduara huku mnaangaliana vidudu vyenu.Vijana waliokulia chini ya shower wakificha vidudu vyao ndo wana-stress mkuu.
Kule ziwani sisi poa tu.
😂😂😂😂 wewe ishazoea kuziona mkuu😂
😂😂😂😂 Watajijua wenyewe na muumba wao wa Vibamia😂😂😂Naona kama unakebehi vile. Hivyo vibamia wamejiumbia wao? Mbona mnakosa akili kiasi hiki. Yanini kumkebehi mtu juu ya maumbile aliyojaliwa na Muumba?
Mkuu, nimemaanisha kama kuchimba dawa watu wakiwa safari.Wtf is kukojoa kwa makundi?
Kwanza ni utoto.Sio sahihi kujidai hivyo mbele ya wanaume wenzako, labda kama kungekuwa na mchanganyiko wa wanawake wakuone wakutafute baadaye.
Bar kwenye beer tunaona mengi sana😀😅😂😂😂😂 wewe ishazoea kuziona mkuu😂
Hahah ndio maana sinywi😂Bar kwenye beer tunaona mengi sana😀😅