KERO Inakera sinki za kukojolea za vyoo vya wanaume kukaribiana sana bila vitenganishi

KERO Inakera sinki za kukojolea za vyoo vya wanaume kukaribiana sana bila vitenganishi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sio sahihi kujidai hivyo mbele ya wanaume wenzako, labda kama kungekuwa na mchanganyiko wa wanawake wakuone wakutafute baadaye.
Hii mada ina shida,vita imehamia kwenye vibamia united,yaani watu wamechangua na hatimae wameenda kunako kibamia united,lakini Mimi mfano Huwa naenda direct toilet kuepusha mkojo ruka kurudi juu na kusababisha shida zaidi.
 
Hahah umenikumbusha jamaa zangu walienda Zenji sasa ile kutafuta lodge muhudumu anawauliza vipi hadi asubuhi au show time.

They were like What The Fck?!!!!
Shida mawazo ya kishoga watu wengi yamewajaa sana. Wakikuona unaingia loudge basi unaenda dinyana ukiingia na mwanaume mwenzio hawawazi kitu ingine zaidi ya huo upuzi
 
kwa kweli huwa inaboa,unakuta wengine mkojo kutoka mpaka atelie,unakuta mtu kakusimamia nyuma.
 
Nakubaliana nawewe. Mimi Hadi Leo hii nikisema niende ziwani naoga vzr tu Sioni shida kabisa mwanaume mwenzangu kuona mkuyungu wangu.

Huko tunakofikiri ni mbali mnoo
Vijana waliokulia chini ya shower wakificha vidudu vyao ndo wana-stress mkuu.

Kule ziwani sisi poa tu.
 
Ndio maana mwaka huu nimeghairi kukojoa mpaka mwakani.
 
Vijana waliokulia chini ya shower wakificha vidudu vyao ndo wana-stress mkuu.

Kule ziwani sisi poa tu.
Inabidi watu wa bar na migahawa watengeneze sehemu za wazi pia kwa ajili ya watu wa ziwani kukojolea, mnakojoa mmezunguka mduara huku mnaangaliana vidudu vyenu.
 
Naona kama unakebehi vile. Hivyo vibamia wamejiumbia wao? Mbona mnakosa akili kiasi hiki. Yanini kumkebehi mtu juu ya maumbile aliyojaliwa na Muumba?
😂😂😂😂 Watajijua wenyewe na muumba wao wa Vibamia😂😂😂
 
Ni kweli kabisa sehem za Siri ni faragha

Kuna siku nilienda sehem fulan iv halafu kulikua na foleni Kwa choo, sasa Kuna mwamba mmoja alikua amelewa akawa na haraka zake akajisahau mdudu wake ni mdogo. Nilikua naskiaga tu stori za kibamia coz sisi wanaume mara nyingi hatuonani ila kwa kile kidudu nikajisemea hiki ndo kibamia chenyewe, kitu kifupi halafu ni chembamba kama kidole cha mwisho, kwa kile kitu nikaamini kweli wanawake wanaolalamikia vibamia wanahoja ya msingi na inabid wasikilizwe.


Wenye mabar tunaomba wajirekebishe
 
Wakati fulani na mazingira fulani ni afya kukojoa kwa makundi au ukimuona mwenzako anakojoa na wewe unajisikia kukojoa, naona ina faida sana kiafya. Sioni tatizo!
Wtf is kukojoa kwa makundi?
 
Back
Top Bottom