KERO Inakera sinki za kukojolea za vyoo vya wanaume kukaribiana sana bila vitenganishi

KERO Inakera sinki za kukojolea za vyoo vya wanaume kukaribiana sana bila vitenganishi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Vyoo vya matumizi ya umma hasa kwa ajili ya kukojoa katika bar nyingi na migahawa ya bus za abiria Tanzania vina changamoto nyingi sana upande wa sinki za kukojolea.

Kuna mahali bar kubwa au mgahawa mkubwa sana na wateja wengi lakini kuna sinki mbili tu za kukojolea kwa hiyo wateja chooni mnapanga mstari kusubiriana, kuna mahali sinki ziko karibu sana yani hata ukijikung'uta baada ya kumaliza kukojoa unamrushia mwenzako mkojo, kuna vyoo unaingia nafasi ndogo sana huko ndani ya vyoo inabidi kutembea kiubavu kupishana lakini pia unakojoa wengine wanakusubiria mgongoni umalize!

Mazingira kama haya ni kudhalilishana na kuambukizana UTI tu. Wamiliki wa bar na migahawa hasa ya bus zingatieni maslahi ya afya za wateja wenu na boreshini mazingira ya vyoo. Pia idara ya afya ya jamii ya serikali timizeni wajibu wenu wa usimamizi na udhibiti.

View attachment 3095401
Wasiwasi wa nini ?! Au hujaonana na ngariba ??!
 
Kuna jamaa alitoa dudu nyuma yangu na akati sijamliza kujoo ile nageuka nyuma nikakutana nalo nilijisikia vibaya sana
 
Yeah nilimwambia mkuu kama unataka tulale Kila mtu chumba chake basi hicho chumba kimoja sitalipia haiwezekan nisafiri na mdogo wangu kutoka mbali kote huko wewe pekee ndo usiniamini hii haipo.

Alikubali mbona
Hahah umenikumbusha jamaa zangu walienda Zenji sasa ile kutafuta lodge muhudumu anawauliza vipi hadi asubuhi au show time.

They were like What The Fck?!!!!
 
Hili nalo la vyoo vya bar kuwa karibu karibu utasikikia nalo kuna watu wanamlaumu Mama Samia
 
Hili nalo la vyoo vya bar kuwa karibu karibu utasikikia nalo kuna watu wanamlaumu Mama Samia
 
Vyoo vya matumizi ya umma hasa kwa ajili ya kukojoa katika bar nyingi na migahawa ya bus za abiria Tanzania vina changamoto nyingi sana upande wa sinki za kukojolea.

Kuna mahali bar kubwa au mgahawa mkubwa sana na wateja wengi lakini kuna sinki mbili tu za kukojolea kwa hiyo wateja chooni mnapanga mstari kusubiriana, kuna mahali sinki ziko karibu sana yani hata ukijikung'uta baada ya kumaliza kukojoa unamrushia mwenzako mkojo, kuna vyoo unaingia nafasi ndogo sana huko ndani ya vyoo inabidi kutembea kiubavu kupishana lakini pia unakojoa wengine wanakusubiria mgongoni umalize!

Mazingira kama haya ni kudhalilishana na kuambukizana UTI tu. Wamiliki wa bar na migahawa hasa ya bus zingatieni maslahi ya afya za wateja wenu na boreshini mazingira ya vyoo. Pia idara ya afya ya jamii ya serikali timizeni wajibu wenu wa usimamizi na udhibiti.

View attachment 3095401
Hivyo vyoo vya kishenzi sana
Kuna siku nmeingia nakojoa akaja mshkaji alikuwa ni africast nashangaa mwanaume mwenzng kasogea karbu anaduwaa kabisa kama dem nilimrudsha mjomba asumani mbio nkasepa
 
Mimi mara nyingi nikiwa na dharula kama hizo naingia chooni moja kwa moja..... mwanadamu asiyejali faragha ni sawa na hayawani.....

Si sahihi kuoneshana sehemu za Siri hadharani...... wakati mwingine unajikuta upo mstari na wajukuu kabisa....NOO
Nakuunga mkono asilimia 100 mkuu yani hii hali siyo mzuri kabisa unakojoa eti upo na wadogo zako wanakucheki
 
Mimi mara nyingi nikiwa na dharula kama hizo naingia chooni moja kwa moja..... mwanadamu asiyejali faragha ni sawa na hayawani.....

Si sahihi kuoneshana sehemu za Siri hadharani...... wakati mwingine unajikuta upo mstari na wajukuu kabisa....NOO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. Lol
 
Wakati fulani na mazingira fulani ni afya kukojoa kwa makundi au ukimuona mwenzako anakojoa na wewe unajisikia kukojoa, naona ina faida sana kiafya. Sioni tatizo!
 
Hili nalo la vyoo vya bar kuwa karibu karibu utasikikia nalo kuna watu wanamlaumu Mama Samia
Bora wanaoweka hata hayo Masink, Kuna Ile wanatengeneza kama kimtaro wanakiwekea Hadi tiles kabisa
 
Back
Top Bottom