Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Acha kumdhalilisha Kima kwa kumlinganisha na MwafrikaMwafrika ni kima aliyechangamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumdhalilisha Kima kwa kumlinganisha na MwafrikaMwafrika ni kima aliyechangamka.
Wewe ndio Mwafrika halisi, tena Mbantuunamjambia ushuzi tuu, ataondoka
Haishangazi kwa Wabantu, Dunia nzima inawatambua kama Manyani yaliyoweza kuvaa nguoJf inaboa siku hizi kwa comments kama hizi..very boring aise
Wasiwasi wa nini ?! Au hujaonana na ngariba ??!Vyoo vya matumizi ya umma hasa kwa ajili ya kukojoa katika bar nyingi na migahawa ya bus za abiria Tanzania vina changamoto nyingi sana upande wa sinki za kukojolea.
Kuna mahali bar kubwa au mgahawa mkubwa sana na wateja wengi lakini kuna sinki mbili tu za kukojolea kwa hiyo wateja chooni mnapanga mstari kusubiriana, kuna mahali sinki ziko karibu sana yani hata ukijikung'uta baada ya kumaliza kukojoa unamrushia mwenzako mkojo, kuna vyoo unaingia nafasi ndogo sana huko ndani ya vyoo inabidi kutembea kiubavu kupishana lakini pia unakojoa wengine wanakusubiria mgongoni umalize!
Mazingira kama haya ni kudhalilishana na kuambukizana UTI tu. Wamiliki wa bar na migahawa hasa ya bus zingatieni maslahi ya afya za wateja wenu na boreshini mazingira ya vyoo. Pia idara ya afya ya jamii ya serikali timizeni wajibu wenu wa usimamizi na udhibiti.
View attachment 3095401
Hahah umenikumbusha jamaa zangu walienda Zenji sasa ile kutafuta lodge muhudumu anawauliza vipi hadi asubuhi au show time.Yeah nilimwambia mkuu kama unataka tulale Kila mtu chumba chake basi hicho chumba kimoja sitalipia haiwezekan nisafiri na mdogo wangu kutoka mbali kote huko wewe pekee ndo usiniamini hii haipo.
Alikubali mbona
Mambo ya kiwaki kama haya BrightfameKuna jamaa alitoa dudu nyuma yangu na akati sijamliza kujoo ile nageuka nyuma nikakutana nalo nilijisikia vibaya sana
Furaha ya wanaume wenzako kukuchungulia ?Kwetu sisi wenye mguu wa mtoto ndio maeneo yetu hayo hakuna moment nakuwa nafuraha kama hyo nyie wenye vibamia na wasiotahiriwa ndio mnajificha
Kwa hiyo sisi ni Zinjayropus au Homohabilis?Sisi bado -tupo on process to become a real /complete human being .
Kwa hiyo sisi ni Zinjayropus au Homohabilis?
Hivyo vyoo vya kishenzi sanaVyoo vya matumizi ya umma hasa kwa ajili ya kukojoa katika bar nyingi na migahawa ya bus za abiria Tanzania vina changamoto nyingi sana upande wa sinki za kukojolea.
Kuna mahali bar kubwa au mgahawa mkubwa sana na wateja wengi lakini kuna sinki mbili tu za kukojolea kwa hiyo wateja chooni mnapanga mstari kusubiriana, kuna mahali sinki ziko karibu sana yani hata ukijikung'uta baada ya kumaliza kukojoa unamrushia mwenzako mkojo, kuna vyoo unaingia nafasi ndogo sana huko ndani ya vyoo inabidi kutembea kiubavu kupishana lakini pia unakojoa wengine wanakusubiria mgongoni umalize!
Mazingira kama haya ni kudhalilishana na kuambukizana UTI tu. Wamiliki wa bar na migahawa hasa ya bus zingatieni maslahi ya afya za wateja wenu na boreshini mazingira ya vyoo. Pia idara ya afya ya jamii ya serikali timizeni wajibu wenu wa usimamizi na udhibiti.
View attachment 3095401
Nakuunga mkono asilimia 100 mkuu yani hii hali siyo mzuri kabisa unakojoa eti upo na wadogo zako wanakuchekiMimi mara nyingi nikiwa na dharula kama hizo naingia chooni moja kwa moja..... mwanadamu asiyejali faragha ni sawa na hayawani.....
Si sahihi kuoneshana sehemu za Siri hadharani...... wakati mwingine unajikuta upo mstari na wajukuu kabisa....NOO
Sasa kibamia unamficha mwanaume mwenzio, how comes wanaume mtambiane ukubwa wa mkuyenge??Nakazia.
Wanaohangaika kuficha ficha ni wenye vibamia 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. LolMimi mara nyingi nikiwa na dharula kama hizo naingia chooni moja kwa moja..... mwanadamu asiyejali faragha ni sawa na hayawani.....
Si sahihi kuoneshana sehemu za Siri hadharani...... wakati mwingine unajikuta upo mstari na wajukuu kabisa....NOO
Bora wanaoweka hata hayo Masink, Kuna Ile wanatengeneza kama kimtaro wanakiwekea Hadi tiles kabisaHili nalo la vyoo vya bar kuwa karibu karibu utasikikia nalo kuna watu wanamlaumu Mama Samia