Inakuaje Kabudi anatangaza nyimbo zinazohamasisha usodoma kuwa alama ya taifa? Maadili yetu yanaelekea wapi?

Inakuaje Kabudi anatangaza nyimbo zinazohamasisha usodoma kuwa alama ya taifa? Maadili yetu yanaelekea wapi?

Kabudi alitangaza kuwa Singeli ni alama ya taifa la Tanzania

Maudhui ya Singeli kwa asilimia 90 yanahamasisha pombe, ufuska, kamari, mapenzi kinyume na mamumbile,inakuaje waziri anatangaza kuwa hii ndio alama ya Tanzania?
Singeli inaweza kubadilishwa na kuwa muziki wa maana sana, ni msingi wake tu haukua mzuri ila haimaanishi kwamba upekee wa midundo yake haionekani.
 
Kabudi alitangaza kuwa Singeli ni alama ya taifa la Tanzania

Maudhui ya Singeli kwa asilimia 90 yanahamasisha pombe, ufuska, kamari, mapenzi kinyume na mamumbile,inakuaje waziri anatangaza kuwa hii ndio alama ya Tanzania?
Nenda kwenye asili ya Singeli kama utakuta hayo maneno kwa mpalange. Kwanza mpalange si ni jina la mtu maarufu huko buza?
 
Kabudi alitangaza kuwa Singeli ni alama ya taifa la Tanzania

Maudhui ya Singeli kwa asilimia 90 yanahamasisha pombe, ufuska, kamari, mapenzi kinyume na mamumbile,inakuaje waziri anatangaza kuwa hii ndio alama ya Tanzania?
Porapesa wa Majalalani na muziki wapi na wapi tena muziki wa vijana, loh!!
 
Kwahiy mnataka tuwakilishwe na taarabu tuonekane taifa la michambo na mipasho
Sisi ni taifa la mama dunia nzima inatujua hivyo. Hayo mengine ni nyomgeza tu. Kwanza nataka nipeleke hoja bungeni kila mtoto awe jina lake linaisha na mia.
 
Kabudi alitangaza kuwa Singeli ni alama ya taifa la Tanzania

Maudhui ya Singeli kwa asilimia 90 yanahamasisha pombe, ufuska, kamari, mapenzi kinyume na mamumbile,inakuaje waziri anatangaza kuwa hii ndio alama ya Tanzania?
Kwanza yeye mwenyewe kwa majina yake haieleweki anaabudu wapi
 
Back
Top Bottom