Nyinyi watu wa mjini ndo mna fursa za kuiba hela za hao wavuja jasho wa vijijini. Not the other-way round.Kwa nini hao watu wa kijijini wasifanye lolote huko kijijini? Mfanyakazi au Mtumishi wa serikali atapata wapi pesa za kujenga mjini na kijijini bila wizi au rushwa wa mali za umma??
Ila tiGO wameikosea sana jamii kwenye hiyo avatar yako. 🙆Wana tabia ya kutokujenga kwao.
Wanaume wa Mara wamejaa Ukonga, Daaslamu wanauza mayai kwenye baiskeli kwa nini wakifa wasizikwe Dar??Ndugu yangu umeuliza swali zuri sana. Majuzi tu kule Arusha Mjukuuu wa Nyerere amezikwa Arusha siyo Butiama, Mzee Mkono ikawa shughuli ile ile leo tena Mafuru. Siyo rahisi kwa Mwanaume wa Mara azikwe Daaslam kama wengine wanavyosema humu kwamba unazikwa popote.
Tatizo hawa watu wameoa wanawake kutoka ukanda ule wa kugombania mali na kutaka kujimilikisha kila jambo na wanaume walishafungwa mdomo hakuna namna inapotokea msiba ni kuwasikiliza wanataka nini kuliko kuvutana nao mpaka mahakamani inaleta fedhea zaidi. Lkn ni aibu
Mwanaume ukiwa timamu kichwani huwezi zikwa kwenye makaburi ya sagura sagura lazima urudi kijijini ukazikwe kimila na ndugu zako.Wanaume wa Mara wamejaa Ukonga, Daaslamu wanauza mayai kwenye baiskeli kwa nini wakifa wasizikwe Dar??
Mna Maneno jamaniMwanaume ukiwa timamu kichwani huwezi zikwa kwenye makaburi ya sagura sagura lazima urudi kijijini ukazikwe kimila na ndugu zako.
Wewe mwana familiaNikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Pia soma TANZIA - Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia
Why not?Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Pia soma TANZIA - Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia
kuzikwa ni kuzikwa tu hakuna shida ukishakufa kilichobaki ni hesabu tu.Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Pia soma TANZIA - Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia
There is no honor to dead bodiesMwanaume ukiwa timamu kichwani huwezi zikwa kwenye makaburi ya sagura sagura lazima urudi kijijini ukazikwe kimila na ndugu zako.
Unataka kumpangia pa kuzikwa mkuu?
Yani wewe ndiye unataka kuamua umpangie marehemu na familia yake wapi pa kuzikwa?
Duh...Wanaume wa Mara wamejaa Ukonga, Daaslamu wanauza mayai kwenye baiskeli kwa nini wakifa wasizikwe Dar??
This is the biggest bullshit of all timeIn Africa, we don't die, tunakuwa ancestors, sasa imagine unakuwa ancestor makaburi ya kisutu au kinondoni, koshoto na kulia umezungukwa na strange spirit is, hazioani na mizimu yenu, mwingine kafa kwa kupigwa mawe baada ya kuiba simu, mwingine alikuwa changudoa. Unamzika hapo, number kuna mtu mwingine alizikwa eneo hilo, spirit yake bado iko hapo inarandaranda.
Hata mkienda kumuombea, mnajikuta mnaombea kitu kingine.
Lastly, ni uchawi, wengi wanaogopa kupeleka familia zao vijijini kwa sababu ya uchawi. Hasa kwa wajita, wakerewe na wakwaya, na wajaluo. Wakurya uchawi si sana, wao ni kukatana mapanga tu.