In Africa, we don't die, tunakuwa ancestors, sasa imagine unakuwa ancestor makaburi ya kisutu au kinondoni, koshoto na kulia umezungukwa na strange spirit is, hazioani na mizimu yenu, mwingine kafa kwa kupigwa mawe baada ya kuiba simu, mwingine alikuwa changudoa. Unamzika hapo, number kuna mtu mwingine alizikwa eneo hilo, spirit yake bado iko hapo inarandaranda.
Hata mkienda kumuombea, mnajikuta mnaombea kitu kingine.
Lastly, ni uchawi, wengi wanaogopa kupeleka familia zao vijijini kwa sababu ya uchawi. Hasa kwa wajita, wakerewe na wakwaya, na wajaluo. Wakurya uchawi si sana, wao ni kukatana mapanga tu.