Inakuaje Lawrence Mafuru azikwe Dar na sio kwao Mara?

Inakuaje Lawrence Mafuru azikwe Dar na sio kwao Mara?

Kwa nini hao watu wa kijijini wasifanye lolote huko kijijini? Mfanyakazi au Mtumishi wa serikali atapata wapi pesa za kujenga mjini na kijijini bila wizi au rushwa wa mali za umma??
Nyinyi watu wa mjini ndo mna fursa za kuiba hela za hao wavuja jasho wa vijijini. Not the other-way round.
 
Ndugu yangu umeuliza swali zuri sana. Majuzi tu kule Arusha Mjukuuu wa Nyerere amezikwa Arusha siyo Butiama, Mzee Mkono ikawa shughuli ile ile leo tena Mafuru. Siyo rahisi kwa Mwanaume wa Mara azikwe Daaslam kama wengine wanavyosema humu kwamba unazikwa popote.

Tatizo hawa watu wameoa wanawake kutoka ukanda ule wa kugombania mali na kutaka kujimilikisha kila jambo na wanaume walishafungwa mdomo hakuna namna inapotokea msiba ni kuwasikiliza wanataka nini kuliko kuvutana nao mpaka mahakamani inaleta fedhea zaidi. Lkn ni aibu
Wanaume wa Mara wamejaa Ukonga, Daaslamu wanauza mayai kwenye baiskeli kwa nini wakifa wasizikwe Dar??
 
In Africa, we don't die, tunakuwa ancestors, sasa imagine unakuwa ancestor makaburi ya kisutu au kinondoni, kushoto na kulia umezungukwa na strange spirits, hazioani na mizimu yenu, mwingine kafa kwa kupigwa mawe baada ya kuiba simu, mwingine alikuwa changudoa. Unamzika hapo, hapo hapo mlipozika, kuna mtu mwingine alizikwa eneo hilo, spirit yake bado iko hapo inarandaranda.

Hata mkienda kumuombea, mnajikuta mnaombea kitu kingine.

Lastly, ni uchawi, wengi wanaogopa kupeleka familia zao vijijini kwa sababu ya uchawi. Hasa kwa wajita, wakerewe na wakwaya, na wajaluo. Wakurya uchawi si sana, wao ni kukatana mapanga tu.
 
In Africa, we don't die, tunakuwa ancestors, sasa imagine unakuwa ancestor makaburi ya kisutu au kinondoni, koshoto na kulia umezungukwa na strange spirit is, hazioani na mizimu yenu, mwingine kafa kwa kupigwa mawe baada ya kuiba simu, mwingine alikuwa changudoa. Unamzika hapo, number kuna mtu mwingine alizikwa eneo hilo, spirit yake bado iko hapo inarandaranda.

Hata mkienda kumuombea, mnajikuta mnaombea kitu kingine.

Lastly, ni uchawi, wengi wanaogopa kupeleka familia zao vijijini kwa sababu ya uchawi. Hasa kwa wajita, wakerewe na wakwaya, na wajaluo. Wakurya uchawi si sana, wao ni kukatana mapanga tu.
This is the biggest bullshit of all time
 
Back
Top Bottom