Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Wadau habari zat weekend.Natumaini ni wazima.
Leo naomba kuwekwa sawa kuhusu jambo hili.siku hizi vijana wengi wamekuwa wakijiua sababu ya mapenzi.Je ni sababu ya kupenda sana au ni kufikiri kwamba huwezi kupata tena mpenzi kama yule.
Tujadiliane tupeane uzoefu.
Leo naomba kuwekwa sawa kuhusu jambo hili.siku hizi vijana wengi wamekuwa wakijiua sababu ya mapenzi.Je ni sababu ya kupenda sana au ni kufikiri kwamba huwezi kupata tena mpenzi kama yule.
Tujadiliane tupeane uzoefu.