Inakuaje mtumishi wa Serikali unajiona kama Mungu mtu? Hampewi training huko namna ya kuzungumza na wateja??

Upbringing mbovu tuu, hata ukiwa trained by whoever hakuna, ni kama vile baada ya watu wengine kuelimika, masalia yote ya mapungufu yalimwagwa Africa na kwa bahati mbaya hata hatulijui hilo.
Duh hatari kk, maneno mazito haya
 
Be specific to the finest detail, siyo ku blanket the whole public sector, don't expect too much kama vile watumishi wa umma ni your personal/domestic servants
I could argue with choose your career wisely and stop acting like Alpha and Omega, everybody is replaceable.. if the job is too much to handle quit, i should not expect top notch service from you people?? U cant be serious.
 
wale jamaa wanajiona miungu watu kabisa na hiyo yote ni kujiwekea mazingira ya rushwa ndiomaana wanajenga mahekalu huko mtaani na hakuna wa kuwahoji ukiuliza utaambiwa afisa wa customs huyo, na yale maumbwa yanajiita takokuuruuu yapo tu SHAME.
Be specific ni idara gani?, ili discussion izae matunda, siyo kuleta chuki kwa public servants woote
 
I could argue with choose your career wisely and stop acting like Alpha and Omega, everybody is replaceable.. if the job is too much to handle quit, i should not expect top notch service from you people?? U cant be serious.
Mi ni mtumishi wa umma na ni mteja mkubwa wa huduma za umma kuliko wewe, Nina procure huduma idara tofauti, Polisi, Afya, Kilimo etc, if I were you, ningeleta kisa ambacho ni specific ili discussion izae matunda, but u just blanket the whole public service, it doesn't make sense
 
I could argue with choose your career wisely and stop acting like Alpha and Omega, everybody is replaceable.. if the job is too much to handle quit, i should not expect top notch service from you people?? U cant be serious.
 
Kaka mtoa post
»»KWA MTIZAMO WANGU, INAWEZEKANA HUYO KASOMA SANA MADESA YAMEMHARIBU KICHWA HATA UTU HANA.

»»INAWEZEKANA KAZI KAIPATA KWA MCHONGO/RUSHWA/UCHAWI, HIVO NI KILAZA, KICHWANI HAKUNA KITU.

»»INAWEZEKANA KABISA WALIOKUWA WAMETANGULIA KWENYE FOLENI WALIMTIBUA.

NB" mimi niiliwahi kwenda ofisi moja ya TRA nilikuwa nafuatilia ishu moja kuhusu kiusafiri, nikamweleza hitaji langu huyo ofisa, MWAMBA KANIJIBU MM SINA AKILI Muulze yule..kufuatilia kumbe alikuwa kwenye likzo ya ugonjwa, INAWEZAKANA HUYO MWAMBA NAYE NI MGONJWA.
 
Unajua kuna watu wanakuwa wameenda kazi wakiwa na stress majibu yake chukulia kama mapungufu yake accept
 
Ninapata ukakasi kumuharibia mtu kipato, ila kama sio mimi lazima kuna mtu atamlipua tu sio kwa madharau yake kama ashahaidiwa pepo
Na shida inaanzia hapa, wewe unafanyiwa upuuzi na mtoa huduma ambae ni wajibu wake kukuhudumia, lkn hauoni umuhimu wa huyo mtoa huduma kuwajibishwa Kwa utovu wa nidhamu Kwa kisingizio cha hutaki kumuharibia ugali wake! unataka nani akairekebishe hali hiyo kwa niaba Yako? Hauoni kama na wewe anakuharibia mambo Yako yanakwama?
 
Tatizo Wema na Wahuni wapo kila sehemu, nikupambana tuwapige spana Wahuni wote watoke kwenye mifumo yetu ili wabaki wema tu!!
 
S
Si umtaje jina na mkoa pamoja na branch anayofanya kazi
 
Dah imebidi nicheke 😂😂

Afisa alijibu "mimi sina akili?"
 
Una point mkuu, sahivi nimerudi sijamkuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…