Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Hamas wanatumia miundombinu ya kijamii kama shule, hospitali, misikiti, nyumba za raia, na wanavaa kiraia unafikiri israel itafanikiwa kirahisi lasivyo mkitaka vita viishe haraka raia wengi wa gaza watakufa sana sasa israel inatumia muda mrefu kuchambua taratibu raia na hamas ili kupunguza maafa mengi kwa raiaIla mwaka mzima kashindwa kuitoa nduki hamas
Sunday skuli zimewafanya kua vilaza zaidi
Yana ukweli embu tuweke ushahidi kuwa hamas hawajifichi nyuma ya raia tatizo lenu mafia dini ni wabishi pasipo factMadai ya kikundi kujificha nyuma ya watu ni uongo yalishathibitishwa ni uongo.
Pia kuhusu Israel HANA UWEZO wa kuyapiga mataifa ya kiarabu kama unavyodhani.
Acheni stori za vijiwe vya kahawa vya six days war.
Iishe wakuimaliza nani aimalize israhell si ndio mwenye jeshi bora kama mnavyodangangwaHamas wanatumia miundombinu ya kijamii kama shule, hospitali, misikiti, nyumba za raia, na wanavaa kiraia unafikiri israel itafanikiwa kirahisi lasivyo mkitaka vita viishe haraka raia wengi wa gaza watakufa sana sasa israel inatumia muda mrefu kuchambua taratibu raia na hamas ili kupunguza maafa mengi kwa raia
Huo ukweli unauona wewe tu!?Yana ukweli embu tuweke ushahidi kuwa hamas hawajifichi nyuma ya raia tatizo lenu mafia dini ni wabishi pasipo fact
Freedom fighters ndio magaidi? Upo dunia gani! Kuwa seriousWatoto na kina mama wanawekwa kama ngao na Magaidi, unataka uwekewe video ya viongozi wa Hamas wakisema haya ?
Lete hiyo video mimi naisubiri.Watoto na kina mama wanawekwa kama ngao na Magaidi, unataka uwekewe video ya viongozi wa Hamas wakisema haya ?
Lete hiyo video mimi naisubiriWatoto na kina mama wanawekwa kama ngao na Magaidi, unataka uwekewe video ya viongozi wa Hamas wakisema haya ?
UN IMEKANUSHA wewe ni nani ushikilie hayo madai!??Yana ukweli embu tuweke ushahidi kuwa hamas hawajifichi nyuma ya raia tatizo lenu mafia dini ni wabishi pasipo fact
Ikiokoa mateka mapema magaidi hawatachapika ipasavyoInakuaje Israel nchi yenye nguvu na intelligensia Duniani inashindwa kuwamaliza wanamgambo wa Hamas na kuokoa raia wake ambao wapo kaeneo kadogo tu ka Gazaš¤£
Kwahyo wanageuza raia kama chambošIkiokoa mateka mapema magaidi hawatachapika ipasavyo