Inakuaje!

mie wala sioni cha ajabu hapo zaidi ya kutakiwa kujua kula na kipofu,ila wajue pia mke/mume wake pia wanafanya hayo wanayoyafanya wao.
 
mie wala sioni cha ajabu hapo zaidi ya kutakiwa kujua kula na kipofu,ila wajue pia mke/mume wake pia wanafanya hayo wanayoyafanya wao.

WOW!Tunahitaji zaidi mawazo kama hayo kwa maendeleo na faida ya wote!
 



I wish kungekua na straight answers, ingetusaidia hata wanandoa and life would have been so simple...
 
Nikiangalia muda my dad and mum muda waliokaa kwenye ndoa i wish na mimi i follow the same line.



Do you want to know the secret? it was 60% ur mom's doin and 40% ur dad's doin, its a great balance. Issue sasa hivi ni kua kila mtu anataka 50% percent each katika ndoa. which makes it impossible - magwiji wawili in the same zizi???
 
Do you want to know the secret? it was 60% ur mom's doin and 40% ur dad's doin, its a great balance. Issue sasa hivi ni kua kila mtu anataka 50% percent each katika ndoa. which makes it impossible - magwiji wawili in the same zizi???
You are right kila mtu anajifanya anajua kuliko mwenzake hapo ndio tatizo linapoanza.
 
HOFU ya Mungu itawale zaidi. Unajua ukiruhusu nafsi yako ikutawale itakupeleka AKHERA. Hakuna kitu kinaitwa shetani kukuongoza kwenye kufanya mambo mabaya. Nafsi yako yenye wingi wa tamaa, kutoridhika ndiyo inayowapelekea watu kuwa hivyo. Imagine unatoka nyumbani unamuaga mumeo vizuri as if unaenda kuleta mambo mazuri kumbe unaenda kufanya uzinzi.

Mungu atuokoe na roho hizi za kishetani!
 
Caroline Amen.
 
tatizo lako Lizzy naona hauko serious, mimi nimejitahidi kkukupa contact zangu ili angalau nikufahamu lakini naona utaki, lakini jua kuwa mzarau mwiba .......... ! tuwasiliane nikupe ukweli wangu personal. email- mnyabusani@gmail.com
 

sante Caro
naona jina lako kwa mwisho
liko similar kidogo na langu ..
 
I wish vijana kama sisi wangeweza kuisoma hii thread.. Naamini wangejifunza mengi sana kama nilivyojifunza mimi.

MwanajamiiOne, Lizzy, Afrodenzi, The Finest, Dark City, Asha D, Mpendwa, Gaga, Nyumba Kubwa, Baba_Enock, Nyamayao, Superman na wengine wote ambao sijawataja hapa asanteni kwa maoni yenu na nimejifunza mengi kutoka kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…