Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Hiyo katiba iliwekwa na wanachama wa chama gani ili kumfeva Mbowe?
katiba ambayo iliwekwa ku mfavor mbowe?

sawa na katiba za kitaifa za watu kuhama vyama, kujivua ubunge, kutumia hela tena kurudia chaguzi.Katiba zinazowapa ma dc power, katiba za NEC za kuhusu chaguzi

ebu acha ujinga na mahaba, katiba za waafrika hawa wawe kwenye vyama, serikalini n.k haziko sahihi

mkuu kwa mahaba umegeuka kama CCM na serikali yake eti "katiba imevunjwa wapi" aibu

kuna vitu unakaa kimya tu
 
Ebu tuwekee hapa kifungu cha katiba ya Chadema unayosema imevunjwa na Mbowe ili kuhalalisha mantiki ya hoja yako
Rejea katiba ya mwaka 2004, iliyochakachuliwa kinyemela 2006 na kuondoa ukomo utawala.
 
mkuu tatizo kubwa la chadema ni chadema yenyewe. ccm wanatumia mapungufu hayo kushadidia. chadema waonyeshe misingi ya demokrasia toka ndani na sio nje. kupingwa kwenye uongozi ni sehemu ya demokrasia. hivi utatofautishaje ccm na chadema kwa misingi ya demokrasi?
Hapa hata sijakuelewa!Na ambao hawana vyama waathirike na uminywaji demokrasia kisa tu CDM na CCM havina demokrasia?
 
katiba ambayo iliwekwa ku mfavor mbowe?

sawa na katiba za kitaifa za watu kuhama vyama, kujivua ubunge, kutumia hela tena kurudia chaguzi.Katiba zinazowapa ma dc power, katiba za NEC za kuhusu chaguzi

ebu acha ujinga na mahaba, katiba za waafrika hawa wawe kwenye vyama, serikalini n.k haziko sahihi

mkuu kwa mahaba umegeuka kama CCM na serikali yake eti "katiba imevunjwa wapi" aibu

kuna vitu unakaa kimya tu
Wanaona tu upande mmoja ila wao hawataki kabisa kukosolewa ama kusahihishwa kwa makosa yaleyale wanayoyapigia kelele.!
 
Ujinga ni kumtetea Mbowe, wakati mnajua kabisa kavunja katiba ya Chama kwa kupitiliza ukomo wa Uongozi.

Chadema sio Saccos kwamba mtu anaweza kuendesha maisha yake yote, Chadema ni Chama cha wananchi kinachoendeshwa na kodi za wananchi....hivyo sheria lazima zifuatwe kwenye uendeshaji wake.

Naona wafuasi wa Mbowe mnavyohangaika kumpa uhalali boss wenu kuendelea kutafuna ruzuku.

Mara Kubenea,Kom ama CCM hamjui mchawi wa Mbowe ni Mbowe mwenyewe.... Demokrasia tunayoililia kila siku lazima tuwe tayari kuiishi hata kama Chungu.
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.

miaka yote hii nimekuwa nikiaminishwa kuwa Chadema wanao utaratibu wa kimchakato wa kuchagua viongozi wao wa juu.
kwa kauli yako hii inaonyesha kuwa kumbe si kweli. inaonekana kama mtu akiutaka say uenyekiti anasema "mimi mwenyekiti" halafu anakuwa mwenyekiti, nk.

yaani hapa unatupa picha kuwa akina Mbowe, Safari, Mnyika, Mdee, nk huwa wanajiwekaga wenyewe kwenye hivyo vyeo walivyo navyo chamani. ama?

embu tutoe tongotongo kidogo mkuu.
 
Ziko taratibu zinazoendesha taasisi ambazo zimewekwa na hao Wanachadema wenyewe namna ya kujiongoza kama taasisi, hivyo demokrasia ina mipaka yake mkuu, bila kuwa na mipaka ya uhuru wa demokrasia sidhani kama bado itaendelea kuwa na sifa za kuitwa taasisi ya kisiasa
haa haa mkuu taratibu hizo ndani ya chadema zinasema mgombea wa nafasi ya uenyekiti taifa atakuwa mmoja tu? je demokrasia wanayodai chadema muda wote ni ipi? hivi mwanachama kutoa mtazamo tofauti dhidi ya mbowe kwenye chama ni usaliti?ilitakiwa tuone watu zaidi ya mmoja wanachukua fomu kugombea uongozi ndani ya chama kisha kura zipigwe. atakayekuwa na kura nyingi ndo mshindi. hizi tabia za kiccm hapana mgombea mmoja tu kupigiwa kura za hapana na ndio huyohuyo hazitaijenga chadema
 
Bavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.


Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapao ndipo usomi wenu unakuwa wa hovyo na wa kutia mashaka.

Pauline Gekul, Mwita waitara , Katambi, Zito Kabwe , Kitila Mkumbo ,Chacha Wangwe wote wamefukuzwa Chadema na kupata matatizo kwa kutaka Mbowe aondoke madarakani walikuwa ni ccm?
Ni ccm yupi anayetaka mbowe aondoke madarakani?

Bavichaa mmebuni mbinu ya kumlinda Mbowe kwa kujificha kwenye kivuli cha ccm??
Uliowataja wanafika bei hata kwa nguo ya ndani wanaachia madaraka
 
Mmmh mkuu naona hapa tumepisha uelewa tu, hapa nadhani hukunielewa vizuri, Chadema katiba yao iko bayana kabisa kuwa kila mwanachama ana haki na sifa ya kugombea nafasi ya uenyekiti, kinachokuwa kinagomba ni njia ipi unaitumia kufanya harakati za kugombea nafasi hiyo, ndio maana nikasema kila jambo liko na kanuni zake, hakuna jambo lolote lisilo na utaratibu wake
haa haa mkuu taratibu hizo ndani ya chadema zinasema mgombea wa nafasi ya uenyekiti taifa atakuwa mmoja tu? je demokrasia wanayodai chadema muda wote ni ipi? hivi mwanachama kutoa mtazamo tofauti dhidi ya mbowe kwenye chama ni usaliti?ilitakiwa tuone watu zaidi ya mmoja wanachukua fomu kugombea uongozi ndani ya chama kisha kura zipigwe. atakayekuwa na kura nyingi ndo mshindi. hizi tabia za kiccm hapana mgombea mmoja tu kupigiwa kura za hapana na ndio huyohuyo hazitaijenga chadema
 
Hapa hata sijakuelewa!Na ambao hawana vyama waathirike na uminywaji demokrasia kisa tu CDM na CCM havina demokrasia?
Lazima waathirike maana maamuzi makubwa kuhusu nchi yetu yanaamuliwa na wanasiasa....CCM ni Chama cha siasa kilichounda serikali...au hukusikia juzi Magufuli anasema hataki kusikia mtumishi anasema yeye hana chama.

Sasa wewe amabae huna chama utashindwa vipi kuathirika na maamuzi ya watumishi/makada
 
Kwasababu mbowe kaimarisha chadema, wamejaribu kila njia kumrubuni ili waiue chadema wakashindwa, walimrununi Silaa, wakamrubuni Lipumba, wakamrubuni yule mama wa act wazalendo, Ila kwa mbowe wanagota, kwaiyo ndo wanataka aondoke ili wamlete wa kwao watakae mpeleka watakavyo.

Mwenye akili tu ndo atalitambua hilo, haswa akijiuliza toka lini ccm ilitakie mema chadema?
 
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Wewe Shetani acha kumtaja MUNGU kwenye huu upuuzi wako, shetani mkubwa weee
 
Hili jambo la kutaka Mh.Mbowe aachie madaraka limekuwa likishinikizwa na wanaccm pekee na sio wana CHADEMA kama ilivyo tarajiwa .
Ccm yao imewashinda wanataka kuharibu upande wa pili .
Ila kwavile CHADEMA wanajitambua hawatafuata akili za Lumumba.

Over
 
9hLazima waathirike maana maamuzi makubwa kuhusu nchi yetu yanaamuliwa na wanasiasa....CCM ni Chama cha siasa kilichounda serikali...au hukusikia juzi Magufuli anasema hataki kusikia mtumishi anasema yeye hana chama.

Sasa wewe amabae huna utashindwa vipi kuathirika na maamuzi ya watumishi/makada
Hujaelewa,kinachotokea ni kuwa mnasema CDM haina demokrasia ndio maana na CCM inalipiza kwa kutokuwa na demokrasia!
Inamaana CDM isingekuwepo,hiyo demokrasia ingekuwepo CCM????
Na ambao hawana vyama?
 
Mmmh mkuu naona hapa tumepisha uelewa tu, hapa nadhani hukunielewa vizuri, Chadema katiba yao iko bayana kabisa kuwa kila mwanachama ana haki na sifa ya kugombea nafasi ya uenyekiti, kinachokuwa kinagomba ni njia ipi unaitumia kufanya harakati za kugombea nafasi hiyo, ndio maana nikasema kila jambo liko na kanuni zake, hakuna jambo lolote lisilo na utaratibu wake
Mkuu tujuze utaratibu kwa mwanachadema yeyote anaetaka kugombea Uenyekiti taratibu zikoje....

Tuone kama Wenje, Zito na sasa Kubenea na Kom hawaujui ila Mbowe tu.
 
Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza tu.
Kwanini chadema huwa wanataka raisi ajiuzulu
Wakati yeye ni wa ccm

Jibu la hili swali ndio jibu la swali lako
 
Nafasi pekee yenye utata ni Uenyekiti....
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.

miaka yote hii nimekuwa nikiaminishwa kuwa Chadema wanao utaratibu wa kimchakato wa kuchagua viongozi wao wa juu.
kwa kauli yako hii inaonyesha kuwa kumbe si kweli. inaonekana kama mtu akiutaka say uenyekiti anasema "mimi mwenyekiti" halafu anakuwa mwenyekiti, nk.

yaani hapa unatupa picha kuwa akina Mbowe, Safari, Mnyika, Mdee, nk huwa wanajiwekaga wenyewe kwenye hivyo vyeo walivyo navyo chamani. ama?

embu tutoe tongotongo kidogo mkuu.
 
Back
Top Bottom