gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Hiyo katiba iliwekwa na wanachama wa chama gani ili kumfeva Mbowe?
katiba ambayo iliwekwa ku mfavor mbowe?
sawa na katiba za kitaifa za watu kuhama vyama, kujivua ubunge, kutumia hela tena kurudia chaguzi.Katiba zinazowapa ma dc power, katiba za NEC za kuhusu chaguzi
ebu acha ujinga na mahaba, katiba za waafrika hawa wawe kwenye vyama, serikalini n.k haziko sahihi
mkuu kwa mahaba umegeuka kama CCM na serikali yake eti "katiba imevunjwa wapi" aibu
kuna vitu unakaa kimya tu