Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wanachama wapi hao walkokutana wakafanya hayo makubaliano?Hivi kama wanachama wanakutana na kukubali kuendelea kumchagua mbowe awe mwenyekiti kosa liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachama wapi hao walkokutana wakafanya hayo makubaliano?Hivi kama wanachama wanakutana na kukubali kuendelea kumchagua mbowe awe mwenyekiti kosa liko wapi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Hizi akili utazikuta chadema pekee!Waambie hawa mbulula! Mbowe pamoja na uimara wake mkuu bado ni mnyenyekevu hata anapoonewa. Kiasi Fulani ndani ya Chadema wanamuona kuwa pamoja na kuwa na msimamo usioyumba lakini dini imemkaa sana hivyo mambo ya mbwai na iwe mbwai kwake hayataki vinginevyo pengine CCM ingekuwa out.
Hivi wanamjua yule Mkurya Heche? waniambie nani ambaye toka Jiwe ameingia madarakani ameweza kuambiwa hadharani maneno aliyojibu Heche kule Tarime hadi akasema mnyang'anye mic? Haki ya nani Heche akiingia madarakani CCM watamtafuta Mbowe wamlambe makalio arudi.
Kuhusu Wenje siwezi kumzungumzia maana hajawahi kuwa na mgogoro na chama kiasi cha kufikia kamati kuu kumjadili mwenendo wake ndani ya chamaMkuu tujuze utaratibu kwa mwanachadema yeyote anaetaka kugombea Uenyekiti taratibu zikoje....
Tuone kama Wenje, Zito na sasa Kubenea na Kom hawaujui ila Mbowe tu.
Kwanini chadema huwa wanataka raisi ajiuzulu
Wakati yeye ni wa ccm
Jibu la hili swali ndio jibu la swali lako
[emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Hizi akili utazikuta chadema pekee!
Nyumbu mnataabu sana.
Si chadema wanataka aachie umwenyekiti wa chama kwa kigezo cha kusema anakofia mbili wanasahau kuona kama mbowe ameondoa kipengele cha ukomo wa uongozi wakeKwahiyo nafasi ya uraisi unaiona haina utofauti na nafasi ya mwenyekiti wa Chadema?
Si chadema wanataka aachie umwenyekiti wa chama kwa kigezo cha kusema anakofia mbili wanasahau kuona kama mbowe ameondoa kipengele cha ukomo wa uongozi wake
Kweli kabisa mkuu.. Afu cha kushangaza, mrema wa tlp, cheyo wa udp, lipumb (cuf) wana miaka kibao kama wenyeviti lkn huwezi sikia wanasema maana wanaitumikia sisiemu.Kwasababu mbowe kaimarisha chadema, wamejaribu kila njia kumrubuni ili waiue chadema wakashindwa, walimrununi Silaa, wakamrubuni Lipumba, wakamrubuni yule mama wa act wazalendo, Ila kwa mbowe wanagota, kwaiyo ndo wanataka aondoke ili wamlete wa kwao watakae mpeleka watakavyo.
Mwenye akili tu ndo atalitambua hilo, haswa akijiuliza toka lini ccm ilitakie mema chadema?
Mleta mada ameuliza swali la msingi kwamba TANGU LINI CCM IKAITAKIA MEMA CHADEMA jielekeze kwenye kujibu hilo swali...Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Mkuu tumejifunika USO tukihisi hatuonekani hivi ulisha wahi kujiuliza kwanini mbowe kama mwenyekiti alijitahidi kuondoa ukomo wa uongozi ndani ya chamaKuachia uenyekiti wa chama rais wa nchi ni kwa maslahi mapana ya nchi na siyo ya ccm maana kufanya hivyo ni kuondoa mgongano wa kimaslahi kati ya serikali na chama tawala
Mbowe hana mamlaka yoyote ya kufanya marekebisho ya katiba ya chama, wenye uwezo huo ni wanachadema wenyewe
Bado vibaraka wenu komu na kubenea nao wanawafuata hukohuko kuunga juhudi za mwenyekitiBavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.
Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapao ndipo usomi wenu unakuwa wa hovyo na wa kutia mashaka.
Pauline Gekul, Mwita waitara , Katambi, Zito Kabwe , Kitila Mkumbo ,Chacha Wangwe wote wamefukuzwa Chadema na kupata matatizo kwa kutaka Mbowe aondoke madarakani walikuwa ni ccm?
Ni ccm yupi anayetaka mbowe aondoke madarakani?
Bavichaa mmebuni mbinu ya kumlinda Mbowe kwa kujificha kwenye kivuli cha ccm??
tiririka ndugu......Nafasi pekee yenye utata ni Uenyekiti....
Mbowe hana mamlaka yoyote ya kuifanyia marekebisho katiba ya Chadema, wenye mamlaka hayo ni Chadema wenyeweMkuu tumejifunika USO tukihisi hatuonekani hivi ulisha wahi kujiuliza kwanini mbowe kama mwenyekiti alijitahidi kuondoa ukomo wa uongozi ndani ya chama
Tukijipa muda wa kufikiria sana kuna vitu unajiuliza mbowe ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kwani hizo ni kofia ngapi?
Mkuu unamanisha wanachama wa chadema wanapenda kuwa na kiongozi wa milele?Mbowe hana mamlaka yoyote ya kuifanyia marekebisho katiba ya Chadema, wenye mamlaka hayo ni Chadema wenyewe
Komu na kubenea ni within au ni without?Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza tu.
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.
miaka yote hii nimekuwa nikiaminishwa kuwa Chadema wanao utaratibu wa kimchakato wa kuchagua viongozi wao wa juu.
kwa kauli yako hii inaonyesha kuwa kumbe si kweli. inaonekana kama mtu akiutaka say uenyekiti anasema "mimi mwenyekiti" halafu anakuwa mwenyekiti, nk.
yaani hapa unatupa picha kuwa akina Mbowe, Safari, Mnyika, Mdee, nk huwa wanajiwekaga wenyewe kwenye hivyo vyeo walivyo navyo chamani. ama?
embu tutoe tongotongo kidogo mkuu.
Bado mbowe kama mwl nyerere atakuwa MKT kwa miaka 25 mpaka CDM ichukue DolaSiyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Hivi cheyo ana wadhifa gani na wa tangu lini pale udp?Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza tu.
haa haa mkuu chadema wanapata wapi kuwasemea wasio na vyama nje ya chama?Hapa hata sijakuelewa!Na ambao hawana vyama waathirike na uminywaji demokrasia kisa tu CDM na CCM havina demokrasia?