Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Rejea katiba ya mwaka 2004, iliyochakachuliwa kinyemela 2006 na kuondoa ukomo utawala.
Unaposema kinyemela unamaanisha nini? Kama ni batili mahakama na ofisi ya msajiri kazi yao ni ipi?
 
Wanaona tu upande mmoja ila wao hawataki kabisa kukosolewa ama kusahihishwa kwa makosa yaleyale wanayoyapigia kelele.!
Wewe uko upande gani? Hebu chaguwa upande kwanza.

Halafu nakushauri utafute Avatar nyingine Dr Slaa amesharudi kwenye chama chake cha awali ccm.
 
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.

miaka yote hii nimekuwa nikiaminishwa kuwa Chadema wanao utaratibu wa kimchakato wa kuchagua viongozi wao wa juu.
kwa kauli yako hii inaonyesha kuwa kumbe si kweli. inaonekana kama mtu akiutaka say uenyekiti anasema "mimi mwenyekiti" halafu anakuwa mwenyekiti, nk.

yaani hapa unatupa picha kuwa akina Mbowe, Safari, Mnyika, Mdee, nk huwa wanajiwekaga wenyewe kwenye hivyo vyeo walivyo navyo chamani. ama?

embu tutoe tongotongo kidogo mkuu.
Zitto Kabwe ndio aliwajaza ujinga huu baada ya kushindwa hila zake na kufukuzwa Chadema akaanzisha chama na kujiwekea cheo cha Ayattolah.

Hawa wajinga wajinga mara nyingi wanaongozwa na chuki kuliko uhalisia.

Katika watu wenye misimamo na wazalendi wa kweli hakuna mwenye shaka na Tundu Lisu sasa ukitaka ukweli juu ya hizi porojo muulize Tundu Lisu maoni yake ni yepi.

Mbowe ndio mwenyekiti pekee wa upinzani ambaye amekataa kucompromise na ccm na hana njaa hanunuliki na wala hana bei na kama sikosei Mbowe hajawahi kuwa ccm.
 
huwa wanajiwekaga na wanatafuta watu wachache ku justify

museven Uganda anafanya hivyo hivyo

ifike wakati hawa tunaowapenda sana tuwakosoe ni kwa faida ya taifa

CDM ikifa leo sio afya kwa taifa
Ili Chadema isife leo kiboko yao ccm ndio huyo Mbowe, hayo ndio maamuzi ya wenye Chadema yao.

Wamebomowa Billicanas, wamebomowa green house kumdhoofisha kiuchumi Mbowe lakini amesimama imara, mimi ningekuwa ni mwanachama wa Chadema ningesimama imara na mwenyekiti wangu kama anavyofanya Tundu Lisu.
 
Si mnataka Tubadilishe Jemedari Katikati ya Vita Nzito ,Vp Tukiwaletea jemedari John Heche??
Na Chadema kama wspo serious John Heche aandaliwe sasa kuja kuwa mrithi wa Mbowe maana tumeona shughuri yake Bavicha alipoondoka kaondoka na Bavicha yake.

Imagine mwenyekiti wa Taifa Bavicha leo ananunuliwa na ccm, hiki ndicho wamekishindwa kwa Mbowe ndio maana wanamtaka mtu wanaeweza kumnunuwa na akawa ni agent wao kama ilivyo kwenye vyama vingine vyote wenyeviti wote ni mawakala wa ccm.
 
Na Chadema kama wspo serious John Heche aandaliwe sasa kuja kuwa mrithi wa Mbowe maana tumeona shughuri yake Bavicha alipoondoka kaondoka na Bavicha yake.

Imagine mwenyekiti wa Taifa Bavicha leo ananunuliwa na ccm, hiki ndicho wamekishindwa kwa Mbowe ndio maana wanamtaka mtu wanaeweza kumnunuwa na akawa ni agent wao kama ilivyo kwenye vyama vingine vyote wenyeviti wote ni mawakala wa ccm.
Mkuu nayakubali Mawazo yako na Nimeyaheshimu Kwa Sasa mjini ni Vigumu kujua Kondoo la Lumumba ni Lipi na Kamanda Ni yupo Hivyo Ni bora Tutembee na Kamanda Heche Mpaka atakapoachiwa Kijiti Inshallah maana Shughuli yake Tangu akiwa Bavicha Tuliiona.
 
Na Chadema kama wspo serious John Heche aandaliwe sasa kuja kuwa mrithi wa Mbowe maana tumeona shughuri yake Bavicha alipoondoka kaondoka na Bavicha yake.

Imagine mwenyekiti wa Taifa Bavicha leo ananunuliwa na ccm, hiki ndicho wamekishindwa kwa Mbowe ndio maana wanamtaka mtu wanaeweza kumnunuwa na akawa ni agent wao kama ilivyo kwenye vyama vingine vyote wenyeviti wote ni mawakala wa ccm.
Hivi Putin alishawahi kuwa prime minister eeh mbowe katibu mkuu heche mwenyekiti
Muda ukiiasha anarudishwa.
 
Mwkt Mbowe kwanini lakini unaitesa ccm hi yo halo UK kwako he ukihamia Kyle so neo kbs
 
Huna akili we kilaza
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
 
Sukununu
Bavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.


Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapao ndipo usomi wenu unakuwa wa hovyo na wa kutia mashaka.

Pauline Gekul, Mwita waitara , Katambi, Zito Kabwe , Kitila Mkumbo ,Chacha Wangwe wote wamefukuzwa Chadema na kupata matatizo kwa kutaka Mbowe aondoke madarakani walikuwa ni ccm?
Ni ccm yupi anayetaka mbowe aondoke madarakani?

Bavichaa mmebuni mbinu ya kumlinda Mbowe kwa kujificha kwenye kivuli cha ccm??
 
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Mungu yupi?? aliyeletwa na wamishenari au walioabudiwa na mababu zetu
 
Nitangulize Salamu Kwako Msomaji Wa Uzi Huu! Habari!

Nimekuwa Nikipitia Baadhi Ya Mijadala Humu Jukwaani Na Moja Ya Mijadala Hiyo Ni Huu Wa Baadhi Ya Kauli Za Vijana Kutoka CCM Kutoa Malalamiko Yao Wanayoyaita Ni Kama Ushauri Kuhusu Mwenendo Wa CHADEMA Hasa Katika Ngazi Ya Uongozi Wa Chama Hicho.

Wengi Wao Wamekuwa Wakidai Kuwa Mwenyekiti Wa Chama Hicho Ndugu Freeman Mbowe Hafai Tena Kuendelea Kuwa Mwenyekiti Wa Chama Hicho Na Wengine Wameshutumu Kuwa Anavunja Katiba Ya Chama Na Kwamba Hakuna Demokrasia Ndani Ya Chama Na Wengine Kakidai Amekuwa Akila Ruzuku Ya Chama Ingawa Mara Nyingi CHADEMA Wamekuwa Wakijibu Tuhuma Hizo.

Cha Kushangaza Ni Kwamba Mbona Haya Wanayoyaona Kwa Wenzao Kwao Pia Hali Ni Mbaya Ingawa Wengi Wao Wamekaa Kimya Na Hawathubutu Kizungumza Chochote Juu Ya Hali Na Mwenendo Wa Chama Chao. Swali Ni Je! Katiba Ya Chama Chao Inafatwa Kwa Usahihi Bila Mapungufu Yoyote? Je! Taratibu Za Kuwapata Wagombea Wapya Wa Majimbo Yaliyokuwa Wazi Unafanyika Kwa Usahihi Na Kikatiba Ndani Ya Chama Chao. Je! Hakuna Kulazimishana Katika Kufanya Maamuzi Mbalimbali Ya Kichama? Vipi Kuhusu Haya Madai Ya Ubadhilifu Ndani Ya Chama Tunayoyasikia Kutoka Kwa Katibu Mkuu Ndugu Bashiru Ally, Vipi Kuhusu Matumizi Ya Ruzuku Yao. Je Kuna Hali Nzuri Ndani Ya Chama Chao Kiasi Hicho Mpaka Wawekeze Nguvu Nyingi Kwenda Kuishauri CHADEMA Cha Kufanya?

Sisemi Kuwa CHADEMA Hakuna Matatizo Ndani Ya Chama, yapo Ila Sioni Kama wanaCCM Ni watu Sahihi Wakusimama Na Kuishauri CHADEMA Cha Kufanya. Ni Kama Kukiona Kibanzi Ndani Ya Jicho La Mwenzako Wakati Wewe Huioni Boriti Kwenye Jicho Lako Mwenyewe.



FRANC THE GREAT
(JamiiForums)
 
Nimefuatilia maandiko mbalimbali kuhusu ukabila, udini na Sasa ruzuku ya chama Chadema na kubaini upo umuhimu wa kuwa na kiongoz imara ndipo uwe na chama imara.

Ni ajabu kwa viongozi wa nchi hii kuanzia DC hadi katibu mwenezi na uvccm kutaka kuamisha Watanzania kwamba mwenyekiti wa Chadema ni mwizi ila hawana uwezo wa kumpeleka kwa pilato.

Nimefuatilia kama Mbowe Ana Kinga ya kushtakiwa nakubaini hana Kinga na ndio maana hadi Sasa anaudhuria kisutu toka mwaka Jana kwa kesi ya Aqwilina. Kama hana kinga na ni mwizi wa ruzuku kwanini TAKUKURU hawajamfikisha mahakamani?

Kama Mbowe ni mbaya kwa wana CCM na siyo mwenyekiti wao wanaumia nini akiwaongoza wana Chadema?Mbona hakuna anayesema Mbowe akiomba kujiunga CCM hatopokelewa? Kwann ukiwa upinzani ndo unakuwa mbovu ukiingia CCM tunaaminishwa wewe ni mwema na unapewa hadi uongozi?

Hii inanifanya niamini kuwa kamanda Mbowe ni mwiba kwa CCM na hata wakihama wote kwenda Chadema na akabaki mwenyewe bado CCM hawatolala maana wanajua tatizo ni uimara wa mwenyekiti, wabunge hata wakiondoka wote Leo ila wakabaki watu imara bado Chadema itabaki kuwepo.

Mbowe hata wakikuacha wote usitetereke ipo siku upande wa pili utawachuja na watakuja kukupigia magoti .Kama walimtema katibu mwenezi watashindwa nn kuwatenga hao wasaka tonge?
 
Kwa hiyo hata akiwa dikiteta sawa tu? Ili mradi awe imara. Democrasia iko wapi kama wanao toa maoni wanafukuzwa na kuitwa wasaliti.
 
Nimefuatilia maandiko mbalimbali kuhusu ukabila, udini na Sasa ruzuku ya chama Chadema na kubaini upo umuhimu wa kuwa na kiongoz imara ndipo uwe na chama imara.

Ni ajabu kwa viongozi wa nchi hii kuanzia DC hadi katibu mwenezi na uvccm kutaka kuamisha Watanzania kwamba mwenyekiti wa Chadema ni mwizi ila hawana uwezo wa kumpeleka kwa pilato.

Nimefuatilia kama Mbowe Ana Kinga ya kushtakiwa nakubaini hana Kinga na ndio maana hadi Sasa anaudhuria kisutu toka mwaka Jana kwa kesi ya Aqwilina. Kama hana kinga na ni mwizi wa ruzuku kwanini TAKUKURU hawajamfikisha mahakamani?

Kama Mbowe ni mbaya kwa wana CCM na siyo mwenyekiti wao wanaumia nini akiwaongoza wana Chadema?Mbona hakuna anayesema Mbowe akiomba kujiunga CCM hatopokelewa? Kwann ukiwa upinzani ndo unakuwa mbovu ukiingia CCM tunaaminishwa wewe ni mwema na unapewa hadi uongozi?

Hii inanifanya niamini kuwa kamanda Mbowe ni mwiba kwa CCM na hata wakihama wote kwenda Chadema na akabaki mwenyewe bado CCM hawatolala maana wanajua tatizo ni uimara wa mwenyekiti, wabunge hata wakiondoka wote Leo ila wakabaki watu imara bado Chadema itabaki kuwepo.

Mbowe hata wakikuacha wote usitetereke ipo siku upande wa pili utawachuja na watakuja kukupigia magoti .Kama walimtema katibu mwenezi watashindwa nn kuwatenga hao wasaka tonge?
Very soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
 
mkuu kuhusu suala la ruzuku namtetea mbowe. vyama vyote vinatafuna ruzuku sio ccm wala vya upinzani. ndo maana tunashauri ruzuku zifutwe kwenye vyama. ila suala la demokrasia ndani ya chama mbowe ana la kujibu...
 
Back
Top Bottom