Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Uvccm hawana hoja zaidi ya kumsema mbowe tu. Tangu lini adui yako akakupa ushauri postive??
 
kwa manufaa ya JF na wanaccm wenzio unaweza kuweka hapa kifungu ambacho Mbowe amekivunja ?
Maana wana CCM wanaijua katiba ya CHADEMA kuliko wana CHADEMA wenyewe. Wameikomalia system ya CHADEMA wakati kwao wanaelewa watu wagombee ubunge na udiwani Masala machache baada ya kujiunga na CCM hilohawalioni kabisa
 
Siyo siri Mheshimiwa Mbowe amekuwa ni kimbilio la watu wengi kuhusiana na shutuma za ufisadi kila siku pia kabila lake linamponza kwa sana.

Mizani inaonyesha Mbowe anapendwa na kukubalika na wananchi wengi wapenda demokrasia nchini kutoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.

Hivyo mlio karibu naye mwambieni akaze buti huku field wananchi wanamuelewa kuanzia CDM HADI CCM siyo siri watu wanataka Uhuru wa kutoa mawazo ambao JIWE LETU halitaki.

Viva Mbowe achana na akina Kubenea ni wasaliti na wachumia tumbo tu, wewe songa mbele WANANCHI WALIO WENGI WATAKUELEWA MUDA SI MREFU
 
Hakuna mwenyekiti wa chama chochote cha siasa Tanzania mwenye rekodi ya weledi mzuri kama Mbowe. Kwa hili atakumbukwa sana hata kama CCM watafanikiwa kumtoa madarakani.
 
Democracy

Cdm kubadilisha katiba ili mwenyekiti awe wa milele sio democracy

Kupitisha mgombea urais kwa kura za ndioooooooo sio democracy.

Kupingana na mwenyekiti unafukuzwa sio democracy.

Kuwa na wafuasi ambao hawawezi kufikiri nje ya fikra za mwenyekiti hiyo sio democracy.

Kukataza/kuzuia mikutano ya kisiasa sio democracy.

Kuhisi peke yako ndio mwenye akili sio democracy.

Kutosimamia sheria sio democracy.

Kutumia cheti cha MTU ni kuvunja sheria.

Kujihisi wewe ni mtoto wa mfalme wakati sio kweli hiyo sio democracy.

Kujifanya hupangiwi sio democracy.

Ukiwa njaa huwezi kupractice democracy(kila wakati utawaza tumbo lako )
In a Democratic society the power belongs to the people.Democrsia ya kweli ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa na si democrasia ya kujali tumbo.siasa safi na uongozi bora huzalisha taifa lenye uchumi imara.
 
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.

Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?

Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
 
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
Ukiangalia deep down lipo tatizo.
Kwa mtazamo wangu chama cha demokrasia ya kweli bado hatuna Tanzania.Zaidi naiona Ccm B...

Brother wacha niwai kwenye michakato.Demokrasia ya kweli ni pesa tu
 
Nitaanza kuamini Mbowe mbaya akianzwa kupingwa na WanaChadema walio wengi. Ila nyuzi kama hizi za vijana wa Lumumba zinafanya niamini Mbowe ni kiongozi bora sana kupata kutokea katika historia ya upinzani nchi hii.
 
Nitaanza kuamini Mbowe mbaya akianzwa kupingwa na WanaChadema walio wengi. Ila nyuzi kama hizi za vijana wa Lumumba zinafanya niamini Mbowe ni kiongozi bora sana kupata kutokea katika historia ya upinzani nchi hii.
Kwani nani kasema Mbowe ni mbaya?!!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kukaa Miaka Mingi Madarakani Si Udikteta. Inaonekana Hufahamu Maana Ya Dictator.

Kiongozi Anaweza Akakaa Wiki Tu Madarakani Na Akawa Dictator Kutokana Na Jinsi Anavyoongoza Kwa Mabavu Bila Kufuata Misingi Ya Katiba.
 
Kukaa Miaka Mingi Madarakani Si Udikteta. Inaonekana Hufahamu Maana Ya Dictator.

Kiongozi Anaweza Akakaa Wiki Tu Madarakani Na Akawa Dictator Kutokana Na Jinsi Anavyoongoza Kwa Mabavu Bila Kufuata Misingi Ya Katiba.
hebu waambie hao... mtu anaonyang'anya korosho za watu huko eti kisa hawajaonesha mashamba hawamuiti dikteta.... wajinga sana hawa nyoka wa kijani.... hovyo kabisa.
 
Kukaa Miaka Mingi Madarakani Si Udikteta. Inaonekana Hufahamu Maana Ya Dictator.

Kiongozi Anaweza Akakaa Wiki Tu Madarakani Na Akawa Dictator Kutokana Na Jinsi Anavyoongoza Kwa Mabavu Bila Kufuata Misingi Ya Katiba.
Sifahamu mkuu ndio maana ya kuuliza!
 
Umshangae na Nyerere kukaa madarakani miaka 25..
Na CCM kung'ang'ania madaraka miaka 41 na kudiriki hata kufanya mauwaji kama yale ya jan. 27 na yakaribuni..
Na POMBE kung'ang'ania ubunge miaka 20 ikiwa ni pamoja na kuwapakia wapinzani wake matrekta barabarani ili wasirudishe fomu naye apite bila kupingwa..
Juu ya yote hayo cheo cha uenyekiti upinzani ni Wito..
Risasi iliyomuuwa AQWILINA ilikusudiwa kumlenga Mbowe..
Mwenyekiti kaharibiwa mashamba chini ya agizo la pombe..
Mwenyekiti muda huu unapopost uhayawani, yeye yupo korokoroni
MLITAKA MWENYEKITI AWE KATAMBI ? AU WAITARA ? AU MTATIRO ? AU MILLYA ?
 
C
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
Chama cha siasa kukaa madarakani miaka 50 kwa ujaujanja, ulaghai, wizi ubabe ni demokrasia au udikiteta???
 
Back
Top Bottom