LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
ingependeza angejumuishwa na yule katibu mwenezi wa zamani wa chama dola ccm.Very soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingependeza angejumuishwa na yule katibu mwenezi wa zamani wa chama dola ccm.Very soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
M/kiti wa ccm siyo dikteta??Kwa hiyo hata akiwa dikiteta sawa tu? Ili mradi awe imara. Democrasia iko wapi kama wanao toa maoni wanafukuzwa na kuitwa wasaliti.
Tuanze na wakwapuaji wa 1,5TVery soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
Takataka,unafaidika na uhalifu wa mwenyekiti wako makengezaNimefuatilia maandiko mbalimbali kuhusu ukabila, udini na Sasa ruzuku ya chama Chadema na kubaini upo umuhimu wa kuwa na kiongoz imara ndipo uwe na chama imara.
Ni ajabu kwa viongozi wa nchi hii kuanzia DC hadi katibu mwenezi na uvccm kutaka kuamisha Watanzania kwamba mwenyekiti wa Chadema ni mwizi ila hawana uwezo wa kumpeleka kwa pilato.
Nimefuatilia kama Mbowe Ana Kinga ya kushtakiwa nakubaini hana Kinga na ndio maana hadi Sasa anaudhuria kisutu toka mwaka Jana kwa kesi ya Aqwilina. Kama hana kinga na ni mwizi wa ruzuku kwanini TAKUKURU hawajamfikisha mahakamani?
Kama Mbowe ni mbaya kwa wana CCM na siyo mwenyekiti wao wanaumia nini akiwaongoza wana Chadema?Mbona hakuna anayesema Mbowe akiomba kujiunga CCM hatopokelewa? Kwann ukiwa upinzani ndo unakuwa mbovu ukiingia CCM tunaaminishwa wewe ni mwema na unapewa hadi uongozi?
Hii inanifanya niamini kuwa kamanda Mbowe ni mwiba kwa CCM na hata wakihama wote kwenda Chadema na akabaki mwenyewe bado CCM hawatolala maana wanajua tatizo ni uimara wa mwenyekiti, wabunge hata wakiondoka wote Leo ila wakabaki watu imara bado Chadema itabaki kuwepo.
Mbowe hata wakikuacha wote usitetereke ipo siku upande wa pili utawachuja na watakuja kukupigia magoti .Kama walimtema katibu mwenezi watashindwa nn kuwatenga hao wasaka tonge?
Wanasema ya chama chenu kinachukua 20 bil kila mwezi.. Embu tuwekee hapa mchanganuo wa matumizi yake tuone kama siyo haramuVery soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
Wizi wa ruzuku ndo kitu gani?Alienda hazina kuiba ruzuku au kitu gani hueleweki.Very soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
Nendeni kwa cheyo,dovutwa lipumba,na mremaSiyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Ujinga ni kumtetea Mbowe, wakati mnajua kabisa kavunja katiba ya Chama kwa kupitiliza ukomo wa Uongozi.
Chadema sio Saccos kwamba mtu anaweza kuendesha maisha yake yote, Chadema ni Chama cha wananchi kinachoendeshwa na kodi za wananchi....hivyo sheria lazima zifuatwe kwenye uendeshaji wake.
Naona wafuasi wa Mbowe mnavyohangaika kumpa uhalali boss wenu kuendelea kutafuna ruzuku.
Mara Kubenea,Kom ama CCM hamjui mchawi wa Mbowe ni Mbowe mwenyewe.... Demokrasia tunayoililia kila siku lazima tuwe tayari kuiishi hata kama Chungu.
......wa TanzaniaWewe mfuasi wa nani?
Very soon atafikishwa mahakamani kwa wizi wa ruzuku
......wa Tanzania