gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
katiba ambayo iliwekwa ku mfavor mbowe?
sawa na katiba za kitaifa za watu kuhama vyama, kujivua ubunge, kutumia hela tena kurudia chaguzi.Katiba zinazowapa ma dc power, katiba za NEC za kuhusu chaguzi
ebu acha ujinga na mahaba, katiba za waafrika hawa wawe kwenye vyama, serikalini n.k haziko sahihi
mkuu kwa mahaba umegeuka kama CCM na serikali yake eti "katiba imevunjwa wapi" aibu
kuna vitu unakaa kimya tu
Rejea katiba ya mwaka 2004, iliyochakachuliwa kinyemela 2006 na kuondoa ukomo utawala.Ebu tuwekee hapa kifungu cha katiba ya Chadema unayosema imevunjwa na Mbowe ili kuhalalisha mantiki ya hoja yako
Until then,kwasasa msilopokelopoke kuwa katiba inavunjwa!Basi tusilalamike siku ccm wakipeleka hoja bungeni kuwa Magufuli atawale bila ukomo.
Hapa hata sijakuelewa!Na ambao hawana vyama waathirike na uminywaji demokrasia kisa tu CDM na CCM havina demokrasia?mkuu tatizo kubwa la chadema ni chadema yenyewe. ccm wanatumia mapungufu hayo kushadidia. chadema waonyeshe misingi ya demokrasia toka ndani na sio nje. kupingwa kwenye uongozi ni sehemu ya demokrasia. hivi utatofautishaje ccm na chadema kwa misingi ya demokrasi?
Wanaona tu upande mmoja ila wao hawataki kabisa kukosolewa ama kusahihishwa kwa makosa yaleyale wanayoyapigia kelele.!katiba ambayo iliwekwa ku mfavor mbowe?
sawa na katiba za kitaifa za watu kuhama vyama, kujivua ubunge, kutumia hela tena kurudia chaguzi.Katiba zinazowapa ma dc power, katiba za NEC za kuhusu chaguzi
ebu acha ujinga na mahaba, katiba za waafrika hawa wawe kwenye vyama, serikalini n.k haziko sahihi
mkuu kwa mahaba umegeuka kama CCM na serikali yake eti "katiba imevunjwa wapi" aibu
kuna vitu unakaa kimya tu
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.Ujinga ni kumtetea Mbowe, wakati mnajua kabisa kavunja katiba ya Chama kwa kupitiliza ukomo wa Uongozi.
Chadema sio Saccos kwamba mtu anaweza kuendesha maisha yake yote, Chadema ni Chama cha wananchi kinachoendeshwa na kodi za wananchi....hivyo sheria lazima zifuatwe kwenye uendeshaji wake.
Naona wafuasi wa Mbowe mnavyohangaika kumpa uhalali boss wenu kuendelea kutafuna ruzuku.
Mara Kubenea,Kom ama CCM hamjui mchawi wa Mbowe ni Mbowe mwenyewe.... Demokrasia tunayoililia kila siku lazima tuwe tayari kuiishi hata kama Chungu.
haa haa mkuu taratibu hizo ndani ya chadema zinasema mgombea wa nafasi ya uenyekiti taifa atakuwa mmoja tu? je demokrasia wanayodai chadema muda wote ni ipi? hivi mwanachama kutoa mtazamo tofauti dhidi ya mbowe kwenye chama ni usaliti?ilitakiwa tuone watu zaidi ya mmoja wanachukua fomu kugombea uongozi ndani ya chama kisha kura zipigwe. atakayekuwa na kura nyingi ndo mshindi. hizi tabia za kiccm hapana mgombea mmoja tu kupigiwa kura za hapana na ndio huyohuyo hazitaijenga chademaZiko taratibu zinazoendesha taasisi ambazo zimewekwa na hao Wanachadema wenyewe namna ya kujiongoza kama taasisi, hivyo demokrasia ina mipaka yake mkuu, bila kuwa na mipaka ya uhuru wa demokrasia sidhani kama bado itaendelea kuwa na sifa za kuitwa taasisi ya kisiasa
Uliowataja wanafika bei hata kwa nguo ya ndani wanaachia madarakaBavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.
Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapao ndipo usomi wenu unakuwa wa hovyo na wa kutia mashaka.
Pauline Gekul, Mwita waitara , Katambi, Zito Kabwe , Kitila Mkumbo ,Chacha Wangwe wote wamefukuzwa Chadema na kupata matatizo kwa kutaka Mbowe aondoke madarakani walikuwa ni ccm?
Ni ccm yupi anayetaka mbowe aondoke madarakani?
Bavichaa mmebuni mbinu ya kumlinda Mbowe kwa kujificha kwenye kivuli cha ccm??
haa haa mkuu taratibu hizo ndani ya chadema zinasema mgombea wa nafasi ya uenyekiti taifa atakuwa mmoja tu? je demokrasia wanayodai chadema muda wote ni ipi? hivi mwanachama kutoa mtazamo tofauti dhidi ya mbowe kwenye chama ni usaliti?ilitakiwa tuone watu zaidi ya mmoja wanachukua fomu kugombea uongozi ndani ya chama kisha kura zipigwe. atakayekuwa na kura nyingi ndo mshindi. hizi tabia za kiccm hapana mgombea mmoja tu kupigiwa kura za hapana na ndio huyohuyo hazitaijenga chadema
Lazima waathirike maana maamuzi makubwa kuhusu nchi yetu yanaamuliwa na wanasiasa....CCM ni Chama cha siasa kilichounda serikali...au hukusikia juzi Magufuli anasema hataki kusikia mtumishi anasema yeye hana chama.Hapa hata sijakuelewa!Na ambao hawana vyama waathirike na uminywaji demokrasia kisa tu CDM na CCM havina demokrasia?
Wewe Shetani acha kumtaja MUNGU kwenye huu upuuzi wako, shetani mkubwa weeeSiyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Hujaelewa,kinachotokea ni kuwa mnasema CDM haina demokrasia ndio maana na CCM inalipiza kwa kutokuwa na demokrasia!9hLazima waathirike maana maamuzi makubwa kuhusu nchi yetu yanaamuliwa na wanasiasa....CCM ni Chama cha siasa kilichounda serikali...au hukusikia juzi Magufuli anasema hataki kusikia mtumishi anasema yeye hana chama.
Sasa wewe amabae huna utashindwa vipi kuathirika na maamuzi ya watumishi/makada
Mkuu tujuze utaratibu kwa mwanachadema yeyote anaetaka kugombea Uenyekiti taratibu zikoje....Mmmh mkuu naona hapa tumepisha uelewa tu, hapa nadhani hukunielewa vizuri, Chadema katiba yao iko bayana kabisa kuwa kila mwanachama ana haki na sifa ya kugombea nafasi ya uenyekiti, kinachokuwa kinagomba ni njia ipi unaitumia kufanya harakati za kugombea nafasi hiyo, ndio maana nikasema kila jambo liko na kanuni zake, hakuna jambo lolote lisilo na utaratibu wake
Kwanini chadema huwa wanataka raisi ajiuzuluHabari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza tu.
wengine hapa siyo wana Chadema wala CCM ila tunafuatilia kwa karibu haya yanayoendelea.
miaka yote hii nimekuwa nikiaminishwa kuwa Chadema wanao utaratibu wa kimchakato wa kuchagua viongozi wao wa juu.
kwa kauli yako hii inaonyesha kuwa kumbe si kweli. inaonekana kama mtu akiutaka say uenyekiti anasema "mimi mwenyekiti" halafu anakuwa mwenyekiti, nk.
yaani hapa unatupa picha kuwa akina Mbowe, Safari, Mnyika, Mdee, nk huwa wanajiwekaga wenyewe kwenye hivyo vyeo walivyo navyo chamani. ama?
embu tutoe tongotongo kidogo mkuu.
hatunywi sumu hatujiui mbowe mbele kwa mbele. in capt kombe voice
lumumba mtaisoma namba mbowe habanduki mpaka chadema ishike dola.