Kumbuka karibia asilimia 60% ya Watanzania wako na Chadema tukiamua kubeba Magobole ccm mtaikimbia NchiMtanyukana na nani nyinyi mmelegea sana,wanawake 19 wanawashinda mtawezana na wakina Mwakibolwa?
Alichoka lizabon utakua wewe ?Kamanda Asiyechoka.
Waulizeni wavaa kobazi wa Mkulanga watawapa taarifa ya habari.Kumbuka karibia asilimia 60% ya Watanzania wako na Chadema tukiamua kubeba Magobole ccm mtaikimbia Nchi
Hiyo ni tofauti hiyo wanataka Dola ya Kiislamu haitaugwa mkono ila ya kwetu ni tunadai Demokrasia kamili iyaunhwa mkono na Watanzania mamilioni kwa mamilioniWaulizeni wavaa kobazi wa Mkulanga watawapa taarifa ya habari.
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Mama Samia kaza kamba usilegeze mataga na sukuma gang wame changanyikiwaHuwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Wewe ndo unaona tofauti ila wenye jukumu la kulinda mipaka ya nchi na raia awaoni tofauti wote ni wavuruga amani kwa mtutu.Hiyo ni tofauti hiyo wanataka Dola ya Kiislamu haitaugwa mkono ila ya kwetu ni tunadai Demokrasia kamili iyaunhwa mkono na Watanzania mamilioni kwa mamilioni
CCM ikiendelea na ubabe wa kuzuia Demokrasia Nchi itaingia kwenye kunyukana wenyewe kwa wenyewe na usiangalie mbali hapahapa Afrika Ivory CoastWewe ndo unaona tofauti ila wenye jukumu la kulinda mipaka ya nchi na raia awaoni tofauti wote ni wavuruga amani kwa mtutu.
Demokrasia kwanza ianzie kwenu,inakuwaje chama kinakua na mwenyekiti wa maisha,anachingasha fedha wabunge kisha anaweka kibindoni?CCM ikiendelea na ubabe wa kuzuia Demokrasia Nchi itaingia kwenye kunyukana wenyewe kwa wenyewe na usiangalie mbali hapahapa Afrika Ivory Coast
Mirembe wanaruhusu wagonjwa kutumia simu?Naona umeibuka baada ya kuomba bundle kwa BASHITE
Acha kutudhalilisha tumia akili unapomjibu kamanda mwenzangu.Mtanyukana na nani nyinyi mmelegea sana,wanawake 19 wanawashinda mtawezana na wakina Mwakibolwa?
We jaluo usie na akili kaa kimya. Mimi sio bwege kujipendekeza kwa mtu anayeomnyonya watKila wakati Mbowe , Mbowe, Mbowe. Amekutia mimba ya uchichoroni ?!. Yaani unakera Jambo kila siku unaianzishia thread [emoji107].
Ushauri wa bure, kipindi cha uchaguzi ndani ya Cdm kinakuja. Kama vipi, jipime unaweza kupata kama unaona Mbowe hafai. Lakini hili la kila siku jambo moja !! Taga unakera
We kamanda mwenzangu unatia aibu kaa kimya.Huyo ni Taga au tukuambie ID yake ya kweli?
Mbona kama haya yapo CCM pia; mfano, kupingana na mwenyekiti ...Democracy
Cdm kubadilisha katiba ili mwenyekiti awe wa milele sio democracy
Kupitisha mgombea urais kwa kura za ndioooooooo sio democracy.
Kupingana na mwenyekiti unafukuzwa sio democracy.
Kuwa na wafuasi ambao hawawezi kufikiri nje ya fikra za mwenyekiti hiyo sio democracy.
Kukataza/kuzuia mikutano ya kisiasa sio democracy.
Kuhisi peke yako ndio mwenye akili sio democracy.
Kutosimamia sheria sio democracy.
Kutumia cheti cha MTU ni kuvunja sheria.
Kujihisi wewe ni mtoto wa mfalme wakati sio kweli hiyo sio democracy.
Kujifanya hupangiwi sio democracy.
Ukiwa njaa huwezi kupractice democracy(kila wakati utawaza tumbo lako )
Duuuu, pole kumbe ulilazwa mirembe?Mirembe wanaruhusu wagonjwa kutumia simu?
Ndiyo maana kila kukicha unatiwa adabuMwenyekiti wa chama cha Demoghasia na maandamano!
Saccoss ya 'Bwana Makengeza' imebaki na mbunge mmoja lakini amedinda tu hataki kung'atuka!
Ana miaka 30 ndani ya saccoss!
Watanzania wengi hawana imani na Mbowe!!??Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Majibu ni mepesi sana. Ukatili wa Magufuli ndio ulioifikisha nchi hapa ilipo. Lowasa alikuja CDM na akavuna kura zake nyingi achilia mbali zilizoibiwa. Walipata wabunge zaidi ya 70. Kama sio ukatili wa Pombe, leo mambo yangekuwa mengine. Sio Lowasa wala awaye yote aliyetufikisha hapa tulipo zaidi ya Pombe. Hizo nyingine ni "brabra sio blabla" tuNi kweli huu utetezi wa wanacdm wengi kuhusu Mbowe kukaa muda mrefu madarakani. Lakini tujiulize je ni kweli bila Mbowe cdm itayumba? Hivi inge/ikitokea Mbowe akafariki ndio mwisho wa cdm? Hivi hatuona kuwa kitendo cha Mbowe kumleta Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais ni ndio imechangia leo hii cdm kuongea kitu na watawala kuwapuuza? Huwezi kufananisha cdm ya kabla ya Lowassa na cdm baada ya kuwasili Lowassa. Inahitaji ushabiki wa kisiasa kuendelea kumpigia debe Mbowe kuwa mwenyekiti. Ni kweli amefanya mazuri mengi sana kukifikisha chama hapo kilipo, lakini kiukweli sasa ni wakati wa yeye kukaa pembeni na wala sio kwa matakwa ya ccm bali kutokana na uhalisia tu.