Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mfuasi wa Dr.Slaa!!Ujinga ni kumtetea Mbowe, wakati mnajua kabisa kavunja katiba ya Chama kwa kupitiliza ukomo wa Uongozi.
Chadema sio Saccos kwamba mtu anaweza kuendesha maisha yake yote, Chadema ni Chama cha wananchi kinachoendeshwa na kodi za wananchi....hivyo sheria lazima zifuatwe kwenye uendeshaji wake.
Naona wafuasi wa Mbowe mnavyohangaika kumpa uhalali boss wenu kuendelea kutafuna ruzuku.
Mara Kubenea,Kom ama CCM hamjui mchawi wa Mbowe ni Mbowe mwenyewe.... Demokrasia tunayoililia kila siku lazima tuwe tayari kuiishi hata kama Chungu.
Chuki zako binafsi kwa Mbowe zimekufanya kuwa mlemavu wa fikra hadi unashindwa kujenga hoja zenye mantiki kama wale Lumumba Fc!!
Waambie hawa mbulula! Mbowe pamoja na uimara wake mkuu bado ni mnyenyekevu hata anapoonewa. Kiasi Fulani ndani ya Chadema wanamuona kuwa pamoja na kuwa na msimamo usioyumba lakini dini imemkaa sana hivyo mambo ya mbwai na iwe mbwai kwake hayataki vinginevyo pengine CCM ingekuwa out.Angalieni kuweni makini atakuja heche hapa mtamani arudi mbowe shauri yenu
Jenga hoja mkuu...Mfuasi wa Dr.Slaa!!
Hebu tuambie basi katiba ya Chadema imevunjwa wapi kwa Mbowe kuwa madarakani leo hii? mbona huwa nakuona kama mweledi lakini sasa unachotwa na ka upepo Fulani hivi?Yeyote anaesema ukweli ni chuki binafsi....mnatofauti gani na Magufuli tunaemlalamikia kila siku kuwa anachuki na wanaomkosoa....Tuache unafiki.
Basi tusilalamike siku ccm wakipeleka hoja bungeni kuwa Magufuli atawale bila ukomo.Hakuna uko kwenye nafasi ya uenyekiti,mtu yeyote anaweza gombea bila kikomo!Katiba ndio inasema hivyo,hutaki lala mbele!
Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza
Inaelekea huko kwenye vikao vyao vya ndani wakitaja jina Mbowe wote wanakaa kimya,Mbowe utaua watu kwa pressure
ingekuwa
Samahani mkuu, naona umeamua kuzikejeli SACCOS, kwa taarifa yako kuna sheria ya ushirika ya mwaka 2013 pamoja na kanuni zake zinaongelea muda wa Uongozi.Chadema sio Saccos kwamba mtu anaweza kuendesha maisha yake yote, Chadema ni Chama cha wananchi kinachoendeshwa na kodi za wananchi....hivyo sheria lazima zifuatwe kwenye uendeshaji wake.
.
Hata Magufuli ukitaka akuone Mzalendo sifia unga mkono juhudi zake, hapo atakuona mzalendo wa kweli.Hebu tuambie basi katiba ya Chadema imevunjwa wapi kwa Mbowe kuwa madarakani leo hii? mbona huwa nakuona kama mweledi lakini sasa unachotwa na ka upepo Fulani hivi?
Yeyote anaesema ukweli ni chuki binafsi....mnatofauti gani na Magufuli tunaemlalamikia kila siku kuwa anachuki na wanaomkosoa....Tuache unafiki.
Samahani mkuu, naona umeamua kuzikejeli SACCOS, kwa taarifa yako kuna sheria ya ushirika ya mwaka 2013 pamoja na kanuni zake zinaongelea muda wa Uongozi.
Usipotoshe kwa kusema kuwa viongozi wa Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo (SACCOs) huwa wanadumu milele
Vipi dada uko kwenye siku zako,fanya umcheki mbowe akuzalishe tu ndio utatulia
Akili ukishaijenga katika muktadha wa ushabiki lazima ushindwe kujitofautisha na mjinga, hivyo achana na huyo mlevi wa Dr SlaaHebu tuambie basi katiba ya Chadema imevunjwa wapi kwa Mbowe kuwa madarakani leo hii? mbona huwa nakuona kama mweledi lakini sasa unachotwa na ka upepo Fulani hivi?
Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini shinikizo litoke without na sio within? Tangu lini CCM ikaitakia mema CDM? najiuliza tu.
Hata Magufuli ukitaka akuone Mzalendo sifia unga mkono juhudi zake, hapo atakuona mzalendo wa kweli.
Vivyo hivyo na Chadema ukitaka uonekane mwerevu na shujaa msifie,mtetee Mbowe kwa kila hali hapo utaonekana kamanda wa ukweli.
Magufuli ukimhoji utaitwa sio mzalendo ama sio raia, Mbowe ukimkosoa ama kuhoji utaitwa msaliti ama muasi.
Watanzania tumejaa unafiki sana
Ziko taratibu zinazoendesha taasisi ambazo zimewekwa na hao Wanachadema wenyewe namna ya kujiongoza kama taasisi, hivyo demokrasia ina mipaka yake mkuu, bila kuwa na mipaka ya uhuru wa demokrasia sidhani kama bado itaendelea kuwa na sifa za kuitwa taasisi ya kisiasamkuu tatizo kubwa la chadema ni chadema yenyewe. ccm wanatumia mapungufu hayo kushadidia. chadema waonyeshe misingi ya demokrasia toka ndani na sio nje. kupingwa kwenye uongozi ni sehemu ya demokrasia. hivi utatofautishaje ccm na chadema kwa misingi ya demokrasi?
Ahsante kwa kunielewa mkuuAsante kwa kunisahihisha.
Hebu tuambie basi katiba ya Chadema imevunjwa wapi kwa Mbowe kuwa madarakani leo hii? mbona huwa nakuona kama mweledi lakini sasa unachotwa na ka upepo Fulani hivi?
we fala
waoandika ni wanachadema
kuna uasi ndani ya chadema dhidi ya mwenyekiti,watu hawataki kuongea directly wanatumia kivuli cha ccm
hivi kwa akili zako ndogo kabisa, mbowe anamtisha nini JPM au CCM???
sasa mnapopigana na kuumana mnakimbilia CCM, mbowe anawaambia wenye akili ndogo na nyumbu kama wewe ni "CCM hao"
kua