Anapenda kudanganywa kirahisi sn..sasa jiulize masuala mazito kama MIKATABA ana uwezo wa kuhakiki na kufuatilia na kuamua kwa usahihi?
Yupo hapo kujaza nafasi isiwe waziAliwezaje kua hata kiongozi wa vikoba 🤔 lakini ni sawa mtu alizungusha kidato cha nne ndoto yake kuu ni kua muhudumu wa ndege mgawa karanga na vinywaji alafu unategemea kupata kilicho bora kutoka kwake kwenye nafasi kubwa kama aliyopo ambayo inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili 🤔
Anapenda kudanganywa kirahisi sn
Yupo pale kujaza nafasi isiwe wazi, hata yeye ukimuuliza majukumu yake hajui zaidi ya kuteua na kutengua..Ni kwasababu hana vision.
..Uraisi haumfai mtu ambaye hakuwahi kutamani, kudhamiria, na kujipanga, kuwa Raisi.
Inasemekana watu wa karibu yake wengi ni ndugu zake wa damu ndio maana anashindwa kuwawajibisha.hivi kuna chawa anayeweza akasimama kumtetea rais kwa kuteuwa marehemu?
Na kama rais anahujumiwa, hao watu ameshindwa kuwawajibisha?
Nb: Rais ni nembo ya taifa akipatwa na aibu, tumepata taifa zima.
CCM ni chama mfu na imedhihirika wazi!Ni kama Rais anategewa kwa maksudi na wasaidizi wake ili abebe lawama na aibu yeye
Na bahati mbaya nadhani walishamjua udhaifu wake kuwa huwa hapitii na kusoma kile kimeletwa mezani
Wasidizi wake hawafanyi kazi ipasavyo, wanamfanyia maksudi mh Rais, na tunapoelekea uchaguzi mkuu, kwangu mimi naona ni kama wanaajenda yao ya siri
Najiuliza pia, ikiwa jambo dogo kama hilo limefanyika, tupo salama kwa kiasi gani kwenye mikataba ya kimataifa iliyosainiwa?
Kama taasisi inayoaminiwa kulinda maslahi ya nchi inashindwa kufahamu taarifa za mtu wanayetarajia kumpa kazi kwa kujua au kutokujua..vipi hayo mambo mengine yanayohitaji ufatiliaji wa kina, mikataba ya nchi, hujuma za kibiashara na uchumi nk wanao huo uwezo kdiri inavyopaswa? Madhara ya kutoaminika/mistrust kwa unayofanya athari zake ni kubwa na za muda mrefu.Kosa linapewa uzito kwa kuangalia Madhara yatokanayo na kosa hilo.
Katika hili la uteuzi wa marehemu (tena sio kwa kudhamiria) kuna madhara gani yaliyotokana na uteuzi huo ukiachilia hili la Serikali kuonekana haiko makini na watu mitandaoni kuisakama Serikali/Mamlaka ya Uteuzi?
Hapo kwenye kauli hii ".....mambo mengine yanayohitaji ufatiliaji wa kina, mikataba ya nchi, hujuma za kibiashara na uchumi nk wanao huo uwezo kadiri inavyopaswa? Madhara ya kutoaminika/mistrust kwa unayofanya athari zake ni kubwa na za muda mrefu." uko sahihi kabisa mkuu. Ni muhimu sana kuwashtua ili Serikali na Watendaji wengine wasi wa-Underestimate wananchi na wajue kwamba waTz wa sasa sio wale wa mwaka 47 na kufanya mambo "Business as Usual"Kama taasisi inayoaminiwa kulinda maslahi ya nchi inashindwa kufahamu taarifa za mtu wanayetarajia kumpa kazi kwa kujua au kutokujua..vipi hayo mambo mengine yanayohitaji ufatiliaji wa kina, mikataba ya nchi, hujuma za kibiashara na uchumi nk wanao huo uwezo kdiri inavyopaswa? Madhara ya kutoaminika/mistrust kwa unayofanya athari zake ni kubwa na za muda mrefu.
Nisamehe nimechukulia kama unaitania anyway bahati mbaya hii story kama miaka 3 nyuma kwa hiyo nilipata mtu mbadala.Nmeomba hyo kazi naona umereact kwa emoji ya kicheko, was that funny?
Ni zaidi ya ujinga kutangaza jina la mtu pasina kujua km leo yupo au hayupo..kwa nini kwenye wasifu muhusika unaweka contacts zako na za wadhamini angalau watatu..maana yake nini hasa? Zipo kazi hupaswi kuchukulia poa na mazoea sababu utatangaza kitu cha ajabu na kushusha credibility ya taasisi nzima wakati ilikuwa kitu rahis tu, masaa 6 kabla ya tangazo kucheki nae muhusika kujua yuko wapi ili kujiridhisha kuwa ulichopanga kutangaza kiko sawa!Huenda adm wa ikulu mawasiliano hakuwa na info ya tukio la ajali.! Kwanza ajali imetokea siku moja au mbili kabla ya mkeka.! Ila wabongo tunapenda sana kutupiana lawama. Alafu pia jamaa hakuwa mtu maaru kuwa kila mtu atamjua kwa wakati ule ajali inatokea.! Sio kila kitu tunatupiana mawe wazee wangu kuna mistakes sio za kwenda viral kiasi hicho.!
Kiongozi; Mbona hili sio jibu la kiungwana?MAMA ANATOSHA KAMA UNACHUKI HAMA NCHI
Kama yupo mtu hapo ikulu ufahamu wake umejengwa kwenye msingi wa kuona watz km watu rahisi wasiojali mambo..basi ikulu yote ina watu wa hovyo, alipataje kazi ikulu mtu wa aina hiyo?Hapo kwenye kauli hii ".....mambo mengine yanayohitaji ufatiliaji wa kina, mikataba ya nchi, hujuma za kibiashara na uchumi nk wanao huo uwezo kadiri inavyopaswa? Madhara ya kutoaminika/mistrust kwa unayofanya athari zake ni kubwa na za muda mrefu." uko sahihi kabisa mkuu. Ni muhimu sana kuwashtua ili Serikali na Watendaji wengine wasi wa-Underestimate wananchi na wajue kwamba waTz wa sasa sio wale wa mwaka 47 na kufanya mambo "Business as Usual"
Ikulu imejaza chawa. Ikulu kuna ki-jamaa kimoja kizenji nasikia kinamega wasanii kama hakina akili nzuri. Kinahonga mpaka milioni 100 halafu kinajifanya ni ki-mtu cha dini kweli kweli.Kama yupo mtu hapo ikulu ufahamu wake umejengwa kwenye msingi wa kuona watz km watu rahisi wasiojali mambo..basi ikulu yote ina watu wa hovyo, alipataje kazi ikulu mtu wa aina hiyo?
kuna watu wanachuki sana na mamaKiongozi; Mbona hili sio jibu la kiungwana?
Yeah. Hayo ni mojawapo ya madhara ya "Connections" katika kupata Ajira.Kama yupo mtu hapo ikulu ufahamu wake umejengwa kwenye msingi wa kuona watz km watu rahisi wasiojali mambo..basi ikulu yote ina watu wa hovyo, alipataje kazi ikulu mtu wa aina hiyo?
Basi wazipoze roho zao kwa subira na ikifika 2025 wafanye kile wanachodhani ndo sahihi.kuna watu wanachuki sana na mama
Halafu bado Msukuma atabishiwa kuwa wasomi wengi wa Tanzania ni vilaza!Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi.
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
View attachment 3010470