Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Na hili linatucost big time.
Imagine nchi isaini mkataba wa mkopo.

Waziri wa uwekezaji anasema hivi..

Balozi anasema yake hakuna mkataba wowote umesainiwa.

Jokate naye anakuja na maelezo yake.

Huoni shida ipo sana hapo?
 
Leo tar 6 June, huenda uteuzi ulifanyika kabla ya tar 4 June yaani kabla ya ajali, ila ni jambo linaloweza tokea katika majukumu mengi, sio jambo la kushangaa sana, linarekebishwa tu
Hebu acha kutetea uzembe wewe. Huu ni uzembe uliotukuka.
 
Mbona mimi nilikuwa nampigia mfanyakazi wangu wa zamani nilitaka nimrudishe kazini nimeshampangia kila kitu, kupiga simu kimyaa nikaona nimpigie Rafiki yake, Fulani yupo wapi nampigia simu imezimwa... kama kashangaa hivi, ananiambia jamaa tumeanza kumsahau kafariki kama mwezi hivi ajali ya boda boda. Anyway unajuwa kuna watu sio maarufu huyu kama sio teuzi hizi si ajabu hata tusingejuwa kama amefariki. Lakini leo tunajuwa amefariki sababu ya teuzi tu.

Sasa watu wa teuzi wanakuwa na majina mengi marehemu hakuwa maarufu si ajabu na wao leo ndio wamejuwa huyu mtu kafariki. Kuna watu hawajakata roho nchi nzima watajuwa sababu ya kujulikana majina yao yanauza wengine hawajulikani na majina hayauzi. Marehemu kapata kick leo kila mtu atatoa pole sababu ya teuzi...
 
Mbona mimi nilikuwa nampigia mfanyakazi wangu wa zamani nilitaka nimrudishe kazini nimeshampangia kila kitu, kupiga simu kimyaa nikaona nimpigie Rafiki yake, Fulani yupo wapi nampigia simu imezimwa... kama kashangaa hivi, ananiambia jamaa tumeanza kumsahau kafariki kama mwezi hivi ajali ya boda boda. Anyway unajuwa kuna watu sio maarufu huyu kama sio teuzi hizi si ajabu hata tusingejuwa kama amefariki. Lakini leo tunajuwa amefariki sababu ya teuzi tu.

Sasa watu wa teuzi wanakuwa na majina mengi marehemu hakuwa maarufu si ajabu na wao leo ndio wamejuwa huyu mtu kafariki. Kuna watu hawajakata roho nchi nzima watajuwa sababu ya kujulikana majina yao yanauza wengine hawajulikani na majina hayauzi. Marehemu kapata kick leo kila mtu atatoa pole sababu ya teuzi...
Tungekuwa na watendaj wenye uzoefu wa kutosha na uwezo pale ikulu hilo jambo la kupiga simu ndo jambo ambalo walipaswa kulifanya kabla ya kutoa huo mkeka.

Tatizo hatuna watu wenye uwezo na uzoefu wa kutosha katika nafasi wanazozishikilia. Hawajui misingi mikuu ya nafasi zao kama watendaji na washauri wataalam wa mamlaka husika.

Hili ni moja tumeliona! Unajua yako mangapi ya hovyo ambayo hatuyajui?
 
Kama ikulu/rais kateua marehemu kumsaidia kazi basi hii nchi kuendelea ningumu mmno!!!
Nahivi rais kilasiku Yuko nje ya nchi siku sinyingi atatengua marehemu kwenye cheo!!
Mavi-ongozi wetu kwakweli wanauwezo mdoogo saaana!!

Leo wastaafu wanateseka kisa mfuko umeliwa kipumbafu mstaafu anastahili mil. 70 anawekewa mil. 100 alafu hizo mil.30 anatakiwa kumpa Afisa aliyemwekea fedha na chajuu pia anatoa kwanini mfuko usiishe na matakukuru yapo tuuu.
Makonda apewe takukuru japo kwamuda aaibishe mavi-ongozi yanayojidai yana heshma wakati nimajizi.
 
Hii ni fedheha! Utoke mkeka mwingine wa wahusika kuondolewa katika nafasi zao.
Kabisa..
nje ya mada rafiki , halafu wale waliokubishia kuhusu tajiri na timu nadhani leo wameanza kujua ulichosema
 
Niliwaambia hili la Samia ni goal hadi 2030, Tz huwa tuna jifanya wajanja lakini kwa Samia tume patikana.
 
Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.

Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.

View attachment 3010677
Kwahiyo Kilolo wanaongozwa kutoka Mbinguni. Hahaaa . Kilolo wametuzidi
 
Back
Top Bottom