Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.
Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.
Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?
Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?
Je, viwanja wananchi walipewa bure?
Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?
Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!
Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.
Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.
Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?
Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?
Je, viwanja wananchi walipewa bure?
Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?
Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!