Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.

Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.

Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?

Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?

Je, viwanja wananchi walipewa bure?

Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?

Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!
 
Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.

Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.

Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali.

Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"
 
Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.
Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.
Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali. Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"
Kama mtu ushazoea shida na kuona ni kawaida, hebu beba nafasi ya mgeni wako anayekuja kukutembelea atajisikiaje na atakuonaje wewe mwenjeji?
 
Harufu mbaya kuna namna fulani mwili 'unaizoea' baada ya kuishi nayo kwa kipindi flani. Nakumbuka nikiwa naanza fom dala shule moja, palikuwa na vyoo maarufu kama milango tisa, vya shimo tu, na havina milango kabisa japo vilikuwa vinatumika, hususan mida ya usiku. Harufu ni kali; nikawa siwaelewi wanafunzi wanaomudu kula chakula jirani kabisa na maeneo hayo. Baada ya miezi kadhaa kupita nikazoea hiyo hali na kujikuta miongoni mwa wanaokaa sehemu hiyo na kupata menyu huku stori za hapa na pale zikiendelea. Japo kuzoea huko hakumaanishi kutokuwepo kwa madhara ya harufu husika.
 
Habari!
Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.
Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.
Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?
Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?
Je, viwanja wananchi walipewa bure?
Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?
Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!
Unawafuata wanawake wa hovyo halafu unashangaa wanaokaa hayo maeneo
 
Harufu mbaya kuna namna fulani mwili 'unaizoea' baada ya kuishi nayo kwa kipindi flani. Nakumbuka nikiwa naanza fom dala shule moja, palikuwa na vyoo maarufu kama milango tisa, vya shimo tu, na havina milango kabisa japo vilikuwa vinatumika, hususan mida ya usiku. Harufu ni kali; nikawa siwaelewi wanafunzi wanaomudu kula chakula jirani kabisa na maeneo hayo. Baada ya miezi kadhaa kupita nikazoea hiyo hali na kujikuta miongoni mwa wanaokaa sehemu hiyo na kupata menyu huku stori za hapa na pale zikiendelea. Japo kuzoea huko hakumaanishi kutokuwepo kwa madhara ya harufu husika.
Hii box 2 mkuu

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kweli we utakuwa ujaingia uchumi wa kati Kama Bado unatembea na wakurya wanaoshi kwa diwani bomba mbili
Tafuta hela hizo Mbususu chafu uzikimbie
Ahahahaha
Wewe mchawi kwakweli
Ulijuaje kuwa yule demu ni mkurya🙄🙄🙄🙄🙄
 
Harufu mbaya kuna namna fulani mwili 'unaizoea' baada ya kuishi nayo kwa kipindi flani. Nakumbuka nikiwa naanza fom dala shule moja, palikuwa na vyoo maarufu kama milango tisa, vya shimo tu, na havina milango kabisa japo vilikuwa vinatumika, hususan mida ya usiku. Harufu ni kali; nikawa siwaelewi wanafunzi wanaomudu kula chakula jirani kabisa na maeneo hayo. Baada ya miezi kadhaa kupita nikazoea hiyo hali na kujikuta miongoni mwa wanaokaa sehemu hiyo na kupata menyu huku stori za hapa na pale zikiendelea. Japo kuzoea huko hakumaanishi kutokuwepo kwa madhara ya harufu husika.

Madhara ya Harufu ni Kama yapi mkuu?au kupata mafua🤓
 
Back
Top Bottom