Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Nsalaga DAMPO LA JIJI-MBEYA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo yale kuna nyumba nzuri kupita hata nyumba yangu, utasemaje ni umaskini ndio huwafanya waishi pale?Umaskini mbaya. wakipata pesa watahama tu
[emoji15][emoji15][emoji15]wamekukosea nini watu wa mbagala au unahadithiwa hujafika??Bora pugu kuliko mbagara,wana roho mbaya,wachawi ,wezi,hawana ustarabu
Nilipita hapo pia mkuuBox 2 Songea Boys hiyo daaa kitambo sana,niliishi Azimio Four pale enzi hizo,uzuri sisi tulikuwa na Milango(Choo) yetu ya kujitegemea[emoji1787][emoji1787]
Kuna yule alisema ametolewa Jalalani na Jiwe, so jua kuwa watu wanaishi jalalani.Habari!
Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.
Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.
Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?
Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?
Je, viwanja wananchi walipewa bure?
Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?
Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!
Hapo Pasua nimepita sana nikienda mpirani. Kwa kweli siwezi kuishi yale maeneo hata nilazimishwe kwa ngumi. Harufu inakupoke kilometer moja kabla hujakifikia kiwanda dah!Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.
Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.
Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali.
Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"
Wale jamaa huwa siwaelewi aisee, yaani gari likipita unajisikia vibaya sana kutokana na harufu lakini ndani unaona watu wamekaa kwa kutulia na wanapiga storyViwanja vya pale wanakaa wale wafanyakazi wa gari taka waisha zoea
Hahahahah hii ni kihonda veta pale njia ya kwenda kilimanjaro kambi ya magereza pale na wafungwa ndio hufanya kazi ya kuchakata mkonge kuwa kataniKuna sehemu niliwahi kuenda Morogoro mjini miaka ya 2014, ile sehemu kulikua na kiwanda cha kuprocess Katani. Ile sehemu inanuka kinoma hata nusu kukaa ni hatari.
Maeneo yale kuna nyumba nzuri kupita hata nyumba yangu, utasemaje ni umaskini ndio huwafanya waishi pale?
Nyumba inasimama 50 milioni -70 milioni.
Aisee... Ile sehemu inanuka kinoma.. Sijui watu wanaishije pale... Watu wamekaa halafu hapo mlangoni panapita mfereji unatiririsha maji yenye damu... Na harufu juu.... Afu jamaa wanapiga na ubwabwa hapohapo......Karibu vingunguti machinjioni.
Mimi hata kujenda karibu na barabara sitowwza, naitajigi utulivu ninapolala.Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.
Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.
Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali.
Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"