Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.

Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.

Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali.

Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"
Umenikumbusha

La liga

Haki tunatoka mbali[emoji1787]
 
Habari!

Harufu mbaya inapiga maeneo ya Dampo la Pugu almaarufu kama Pugu Dampo.

Ukipita barabarani maeneo hayo unapokelewa na harufu mbaya kali sana.

Najiuliza hivi Kati ya Dampo na makazi ya watu nini kilitangulia?

Je, kama Dampo lilitangulia ilikuwaje mtu na akili zake timamu ajenge makazi maeneo yenye harufu mbaya kiasi kile?

Je, viwanja wananchi walipewa bure?

Au wananchi wamepewa fidia lakini wamegoma kuhama?

Siwezi kuafiki kuwa mtu timamu anaweza kuweka makazi ya kudumu maeneo ya jalalani.
Kama ukipita barabarani tu harufu ni kali je huko ndani wanaoishi jalalani kabisa!!
90% ya Dar Es Salaam NI CHAFU, INANUKA.

Kuna harufu ya vinyesi, mikojo na takataka zilizooza kila mahala kwasababu chemba nyingi zilishajaa na wanazicheulisha mvua inaponyesha. Pia kuna majalala na maji yanayotuama kwasababu ya ujenzi wa hovyo.

Kule feri kuna harufu ya shombo za samaki na pweza.
 
Mimi mwenyewe sielewi Kwa Nini watu wanafuata maeneo hayo.

Kuna siku mwaka 2014 nikapita kiwanda Cha ngozi Moshi (sio Cha Kilimanjaro Leather) siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Harufu yake ni balaa, Ila pembeni ya kiwanda watu wanaishi kama kawaida.

Iringa eneo la Donbosco-Mawelewele Kuna mabwawa ya maji taka. Maji ya chooni yanamwagwa huko na harufu yake unaipata ukiwa mbali.

Huwezi amini ndo kwanza wenye serikali Yao wanajenga hukohuko. Inaonekana "hatujali"
Maeneo kama hayo mfano mabwawa ya maji taka yanapaswa kujengwa mbali na makazi ya watu ila hata yakijengwa huko maadam miji inakua na kutanuka kwa kasi Kuna kipindi watafikiwa tu.
 
Ila iyo harufu inaenda kisha inaisha,nakumbuka kule kigogo dampo mapera kulikuwa na dampo nilikuwa nikipita harufu ilikuwa kali kweli,ila baada ya lile dampo kufungwa hali ya hewa imekuwa sio mbaya,nilitegemea zile nyumba zilizokuwa pembeni miaka ile nisingezikuta lakini ndio ivyo watu wamejenga hadi karibia na dampo lenyewe watu wamejenga
 
Ila iyo harufu inaenda kisha inaisha,nakumbuka kule kigogo dampo mapera kulikuwa na dampo nilikuwa nikipita harufu ilikuwa kali kweli,ila baada ya lile dampo kufungwa hali ya hewa imekuwa sio mbaya,nilitegemea zile nyumba zilizokuwa pembeni miaka ile nisingezikuta lakini ndio ivyo watu wamejenga hadi karibia na dampo lenyewe watu wamejenga
Harufu haiiishi ila wanazoea. Ukienda wewe mgeni utashangaa sana na kufunika pua, wenyeji walishazoea...Watoto kuanzia kuzaliwa na kukua ni mazingira hayohayo
 
[emoji15][emoji15][emoji15]wamekukosea nini watu wa mbagala au unahadithiwa hujafika??
Wenda mchawi yeye mwenyewe ila hajijui, uchawi siyo kitu kinachoonekana, tabia yako tu ya kuchukia watu bila sababu nao ni uchawi.
 
Back
Top Bottom