Inakuwaje mtu anafikia uamuzi wa kuishi Pugu Dampo na harufu mbaya kiasi kile?

Umenikumbusha

La liga

Haki tunatoka mbali[emoji1787]
 
90% ya Dar Es Salaam NI CHAFU, INANUKA.

Kuna harufu ya vinyesi, mikojo na takataka zilizooza kila mahala kwasababu chemba nyingi zilishajaa na wanazicheulisha mvua inaponyesha. Pia kuna majalala na maji yanayotuama kwasababu ya ujenzi wa hovyo.

Kule feri kuna harufu ya shombo za samaki na pweza.
 
Maeneo kama hayo mfano mabwawa ya maji taka yanapaswa kujengwa mbali na makazi ya watu ila hata yakijengwa huko maadam miji inakua na kutanuka kwa kasi Kuna kipindi watafikiwa tu.
 
Ila iyo harufu inaenda kisha inaisha,nakumbuka kule kigogo dampo mapera kulikuwa na dampo nilikuwa nikipita harufu ilikuwa kali kweli,ila baada ya lile dampo kufungwa hali ya hewa imekuwa sio mbaya,nilitegemea zile nyumba zilizokuwa pembeni miaka ile nisingezikuta lakini ndio ivyo watu wamejenga hadi karibia na dampo lenyewe watu wamejenga
 
Harufu haiiishi ila wanazoea. Ukienda wewe mgeni utashangaa sana na kufunika pua, wenyeji walishazoea...Watoto kuanzia kuzaliwa na kukua ni mazingira hayohayo
 
[emoji15][emoji15][emoji15]wamekukosea nini watu wa mbagala au unahadithiwa hujafika??
Wenda mchawi yeye mwenyewe ila hajijui, uchawi siyo kitu kinachoonekana, tabia yako tu ya kuchukia watu bila sababu nao ni uchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…