Inakuwaje mtu anagoma kufa mpaka amuone mtu anayemhitaji kumuona?

Kule kwetu kuna dawa wazee waliwahi kunisimulia kuwa ipo mtu analukula ile dawa hata augue vipi hafi mpaka ampate mtu ambae anampa kwa kuitema na kumlisha ndipo anakufa nje ya hapo hafi ndo maana unakuta anamtaka fulan aje ndo kipenzi chake fuatilia maisha ya hao walioitwa na marehemu waliogoma kufa mpaka mtu fulan aje wanakuwa na umri mrefu sana wengine dawa anaiweka chin ya ardh anapanda mti wa mwembe akishakuwazee na anaumwa hafi mpaka amwite mtu maalum anaemtaka yeye ndo ampe siri then utasikia tuukate mti huu jaman mzee kaagiza yapo mengi ngoja leeo niishie hapa sisi wahenga tunagomaga kufa sio mtu unakufa kufa tu dunia tamu hii ipo pia ya kugoma kuzeeka hahaaaaaa njoon wanaume wa dsm na wadada niwauzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila cha msingi ni kusubiri siku yako ya kukaribia kukutana na Ziraili mtoa roho,kwani hiyo haina mazoezi wa uzoefu.
 
Nilisoma kwenye Bible kuna mzee mmoja alikuwa anakaa hekaruni akisubiri Yesu azaliwe,
Alipomuona tu akamshika mkononi akasema "sasa Bwana waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani" This means IMANI HUTENDA



Private geologist
Simioni
 
Bibilia ni Msitu, unaeza Potea bure.

Msichanganye washirikina na wacha Mungu.

Huyo Simeon alishaambiwa na Mungu kua hatakufa mpaka amuone Mtoto Yesu.
Hao wengine wanaambiwa na nani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Cc youngkato
 
Kinachotokea ni mawasiliano ya kiroho katika mwili uharibikao
Ufahamu ndani ya mwili uharibikao una utashi wa kuamua mustakabali wake, lakini si kwa nafsi ina uwezo huo
mshana jr

*R.I.P my fellow classmate Nassoro Kipande*


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza siku ikitokea Hio roho akimuita adui wa marehem ntajiwa na wakati anafika kwa kuchelewa maana aligoma akalazimishwa then mgonjwa akafa wakati yupo na adui ake ndani wanaongea wawili hio kesi ya mauaji sijui itamhusu nani
 
Kweli mwenyewe mama angu mzazi aliugua lakini kwa mda akawa anadai niende nilipofika siku mbili akafariki
 
Hahahaha...you made my day!
Wanaume wa Dar mpooooo?

Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
 
Mimi nilihadithiwa, ndugu aliyekufa akafufuka, kisa hajamalizia kutoa ahadi yake kanisani na walipo mlipia akafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…