ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Mama kwani wanao tutenga si wao, na wanaosisitiza lugha si wao na wanaofanya waonekane hawajui kuongea ni wao. Ni kaujinga tu ka ubaguzi na kujiona wao ndio wajanja sanaaa.Kwani English si ni somo kati ya masomo kadhaa anayofundishwa?
Ufaulu na uelewa wake kwenye masomo mengine ukoje?
Kuna wanaoongea English, hawajui inaandikwaje, hivyo sio maarifa ya msingi mtu kujua katika maisha yake!
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujuaji mwingi, wewe hujui kingereza na kiswahili pia pole na PHD yako ya UDSMNiwaulize ma lecture
Kumbe UDSM ndio kuna bongo lala ?Ujuaji mwingi, wewe hujui kingereza na kiswahili pia pole na PHD yako ya UDSM
Kwani kujua English ndio usomi?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi π€£π€£π€£
Kuna vichaa wapo huko uingereza, wanapiga ngeli la maana sana, na wala hawajaenda shule yoyoteHalafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi π€£π€£π€£
Kama wahaya wasemavyo inawezekana, sijaingia maabara kupima ukweli.Kwani kujua English ndio usomi?
Waliosoma vyuo vya kata ni rahisi sana kuwajuaUjuaji mwingi, wewe hujui kingereza na kiswahili pia pole na PHD yako ya UDSM
Dogo bado brain washed katika suala la elimuKama wahaya wasemavyo inawezekana, sijaingia maabara kupima ukweli.
English ni lugha au ni elimu?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi π€£π€£π€£