Inakuwaje mwanaume unakuwa tajiri, halafu kupata mwanamke inakuwa shida?

Inakuwaje mwanaume unakuwa tajiri, halafu kupata mwanamke inakuwa shida?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Kuna watu kama wanne hivi wa karibu ninaofahamiana nao, hao wanaume aisee wako vizuri kifedha, wana nyumba wana magari mazuri ya kutembelea na biashara wanazo zinazowaingizia pesa mingi.

Sasa kinachonishangaza ni kuwa hao wote wana-struggle kupata wadada wa kuwa nao kwenye mahusiano, pamoja na ukwasi walionao, wanalalamika kuwa wanaishia kuliwa hela zao na kukimbiwa, halafu papuchi hawapewi hata Mara moja.

Wanajaribu kila njia lakini wapi, tena hao wadada wanaowakataa wanajua kuwa hao jamaa wako vizuri kipesa, ila ndo hivo tena..kimuonekano, hao jamaa naweza kusema wako smart tu na wana sura za kawaida...
 
Pesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic,sharing, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitaji pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Pesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitahi pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.

Utashangaa mwamba kapasuka mpaka laki 5 kumla demu wa kawaida sana tu wakati mjuba hata u Fei (50k) unaweza usiishe nikawa nishakula maisha.

Wengine wanaandaliwa mazingira wanawaka wenyewe tu.
 
Sababu kila wanamtafuta mwanamke ambae hatowakubali kwa mali walinazo.. bali atawakubali wao kama wao.
Sad truth is wako kidogo. Hasa ukiwa na pesa kila mwanamke utae mtaka ataangalia mali zako. Hatokukubali ww kama ww.
Pata mwanamke anaekukubali ww kama ww.. si pesa zako . Otherwise utaangukia kqa madanga ya mjini daily
 
Wenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.

Utashangaa mwamba kapasuka mpaka laki 5 kumla demu wa kawaida sana tu wakati mjuba hata u Fei (50k) unaweza usiishe nikawa nishakula maisha.

Wengine wanaandaliwa mazingira wanawaka wenyewe tu.
Waache wawanunulie nguo sisi tutawavua wakishaziva, Akishasimama tunasema bebi kaa,
Tukishamaliza tutapanda zao car,
Alafu waache wao watambe huko kitaa..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom