Kuna vitu vitatu ambavyo ukiwa navyo au ukivielewa utawabadilisha wanawake utakavyo.
Looks * Assets * Game
Ukiweza kuwa navyo vyote vitatu ni nzuri zaidi, ikishindikana angalau uwe na viwili, kama ikitokea una kimoja tu basi jitahidi iwe Game.
Game na yenyewe ipo sehemu mbili, verbal game ambayo ndio mambo yote ya kutongoza na sexual game mambo ya 6*6 jinsi unavyopiga mashine.
Hao maboss wenu hapa ndipo wanapofeli, kuna mtu muonekano upo, uchumi umesimama lakini akifungua mdomo tu kuongea na mwanamke, yaani mrembo hapo hapo anajua kwamba huyu jamaa boya hana uzoefu na wanawake au vile anavyoongea nae,mrembo anajua mchizi hana confidence na kuamua kama ni kumpa k lazime amzungushe au kumchuna na kumpotezea.
Na kuna mtu akiongea na mrembo dakika 2 tu anakuwa tayari ameshajua kwamba hapa inawezekana ata kwenda kugonga leo leo, bahati nzuri kutongoza ni skill ambayo mtu yeyote anaweza jifunza na kuwa vizuri.
That's game kwa kifupi.