Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Nipo low key siku zote unajua hilo [emoji4]Hahahaa nakufahamu vema best yangu. Hauvumi lakini umo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo low key siku zote unajua hilo [emoji4]Hahahaa nakufahamu vema best yangu. Hauvumi lakini umo
Aww CEO nipazito hapo mzee wangu mm sistahili hiko cheo [emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona CEO wa kitengo
tatizo kwanza wanahisi kila mwanamke anae mpata hampendi anapendamali zake tu waambie waondoe dhana hiyo
Sana dearNipo low key siku zote unajua hilo [emoji4]
Wife material tupo mkoani tu.Sura za Kawaida ndio zipi!?
Halafu waambie Mkoani ndio kuna wanawake. Hapo Dar kuna takataka nyingi kwasasa. Labda wapore wanawake kwa makapuku.
Ni connect na mmoja nimtafutie wife matirio huku Mkoa.
Hapo kwenye shughuli hapooo[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji850][emoji850]Wakaka wenye pesa wanajikutana wanapenda vizuri, wanapenda wadada wazuri kama chakula,
Na shughuli huaga hawana nadhani
Weee apia 😂😂😂Muda mwingine ukiwa vizuri sana wanawake wanajua unataka kuwachezea..
Toka nilivyoanza kukakata vijisenti kidogo na mapenzi ya kweli yamekuwa mtihan, naishia kupata wadangaji!
[emoji23][emoji23][emoji23]apo kwenye shughuli apo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajitume karogwa wakati anapesa zakuwapa wenye viuno vya paka chongo we uhangaike weeeh ye kalaza kipisi cha kidole kama kazimia[emoji38]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una nini lakini?
Mapenzi na konyagi au?Sisi matajiri wa mapenzi hatuna cha kuchangia
😅😅😅hivi kumbe nina post tata..🤪🤪 ngoja nipunguze😃😃[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Nasubiria kuna post yako maana huwa unaletaga mzozo sana kwenye post zako yani nitata.
[emoji38][emoji38] Yah akyamungu... Njoo tuyajenge kama vipi!!Weee apia [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Haya nisubiri niko njiani[emoji38][emoji38] Yah akyamungu... Njoo tuyajenge kama vipi!!
Konyagi hata sizijuiiMapenzi na konyagi au?