Wenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.Pesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitahi pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
noted ✍Wenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia.
Waache wawanunulie nguo sisi tutawavua wakishaziva, Akishasimama tunasema bebi kaa,Wenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.
Utashangaa mwamba kapasuka mpaka laki 5 kumla demu wa kawaida sana tu wakati mjuba hata u Fei (50k) unaweza usiishe nikawa nishakula maisha.
Wengine wanaandaliwa mazingira wanawaka wenyewe tu.
apo kwenye shughuli apo😂😂😂Wakaka wenye pesa wanajikutana wanaoenda vizuri, wanapenda wadada wazuri kama chakula,
Na shughuli huaga hawana nadhani
Ajitume karogwa wakati anapesa zakuwapa wenye viuno vya paka chongo we uhangaike weeeh ye kalaza kipisi cha kidole kama kazimia[emoji38]apo kwenye shughuli apo[emoji23][emoji23][emoji23]
umenichekesha sana aiseeeAjitume karogwa wakati anapesa zakuwapa wenye viuno vya paka chongo we uhangaike weeeh ye kalaza kipisi cha kidole kama kazimia[emoji38]