HalelluyahPesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic,sharing, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitaji pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ajitume karogwa wakati anapesa zakuwapa wenye viuno vya paka chongo we uhangaike weeeh ye kalaza kipisi cha kidole kama kazimia[emoji38]
So mimi kuwa na pesa ndiyo mana sijakupata, si ndiyo?ina maana mimi hawajaniona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38]Umejua kunivunja mbavu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kha..
Hahahaumenichekesha sana aiseee
nashindwa kuelewa kwanini hunioniSo mimi kuwa na pesa ndiyo mana sijakupata, si ndiyo?
AsanteeeePesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic,sharing, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitaji pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Speech less, you know me..[emoji6][emoji4][emoji7]Asanteeee
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Nasubiria kuna post yako maana huwa unaletaga mzozo sana kwenye post zako yani nitata.Halelluyah
Demu wa kawaida ndio yupi? πππWenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.
Utashangaa mwamba kapasuka mpaka laki 5 kumla demu wa kawaida sana tu wakati mjuba hata u Fei (50k) unaweza usiishe nikawa nishakula maisha.
Wengine wanaandaliwa mazingira wanawaka wenyewe tu.
Hahahaa nakufahamu vema best yangu. Hauvumi lakini umoSpeech less, you know me..[emoji6][emoji4][emoji7]
Nakuona CEO wa kitengoPesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic,sharing, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitaji pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]