Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kama ya Katibu mwenezi PolepoleSura za Kawaida ndio zipi!?
Halafu waambie Mkoani ndio kuna wanawake. Hapo Dar kuna takataka nyingi kwasasa. Labda wapore wanawake kwa makapuku.
Ni connect na mmoja nimtafutie wife matirio huku Mkoa.
Mo money mo problemPesa haijawahi kumaliza matatizo bali inapunguza tu. Mapenzi sio pesa unatakiwa kuwa mjanja kwenye vitu vingine usitegemee pesa kumaliza kila tatizo wanawake wanataka watu romantic,sharing, caring, passionate nk.. sasa vitu hivi havihitaji pesa ni ufundi tu unatakiwa hapa na ujanja ujanja kwenye hii tasnia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ya Katibu mwenezi Polepole
We jamaa ni hewa 🤣🤣🤣🤣🤣Kama ya Katibu mwenezi Polepole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wanawaza hela, wewe unawaza kugusanisha vikojoleoHilo jambo naona ni kweli kabisa. Maana hata mimi kuna watu nawajua wana pesa nzuri ila hata demu wa kusingizia hawana.
Nahisi Mungu ameweka nyota ya mafanikio kwa Madomo Zege.
Wakati mwingine sio kwamba kukosa ujanja kwenye tasnia bali ku-save time ya kumfualia mtu unakuwa kama unamuimbia wimbo wa kuch kuch wakati huna future nae hivyo mtu anakata fuba tu kikubwa budget yake haiharibikiWenye pesa wengi hawana ujanja kwenye hio tasnia. Wanatumia hongo kupata wanachotaka.
Utashangaa mwamba kapasuka mpaka laki 5 kumla demu wa kawaida sana tu wakati mjuba hata u Fei (50k) unaweza usiishe nikawa nishakula maisha.
Wengine wanaandaliwa mazingira wanawaka wenyewe tu.
Wimbo wa nani huu?Waache wawanunulie nguo sisi tutawavua wakishaziva, Akishasimama tunasema bebi kaa,
Tukishamaliza tutapanda zao car,
Alafu waache wao watambe huko kitaa..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ile sura wewe unaionaje ?We jamaa ni hewa 🤣🤣🤣🤣🤣
Polepole ana sura ya kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee kijana.
Weusi - Interlude nyeusi.. Hiyo verse alichana Nikki wa pili.Wimbo wa nani huu?
Wengi bila bila, kuna mmoja alitaka eti kujizuru kisa mdada mrembo kamuacha wakati yeye ana ukwasi wakutosha, jibu lake mie sikufuata pesa nilikufuata wewe, sasa unaniletea hobela hobela basi baki napesa zakoWakaka wenye pesa wanajikutana wanapenda vizuri, wanapenda wadada wazuri kama chakula,
Na shughuli huaga hawana nadhani
Haaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanapenda kuzimuliwaAjitume karogwa wakati anapesa zakuwapa wenye viuno vya paka chongo we uhangaike weeeh ye kalaza kipisi cha kidole kama kazimia[emoji38]
Kwani yule ni kijana?Kama ya Katibu mwenezi Polepole
Wewe unamuonaje ?
Kama material basi ni AlloyIle sura wewe unaionaje ?
[emoji16]watu wanataka miuno tuWengi bila bila, kuna mmoja alitaka eti kujizuru kisa mdada mrembo kamuacha wakati yeye ana ukwasi wakutosha, jibu lake mie sikufuata pesa nilikufuata wewe, sasa unaniletea hobela hobela basi baki napesa zako
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Aisee yaan mbka unajiuliza mm mbya sana au Vp...watu smart tunapata walevi na wah uniUkiachana na masuala ya kiuchumi ambayo wanawake wengi ndio kigezo kikubwa kwao kwa sasa... Kupata mtu wa kusettle nae kwenye mahusiano yenye malengo, imekuwa ngumu sana kwa sasa hivi kama kupata Tanzanite ya Bwana Laizey...
Aisee yaan mbka unajiuliza mm mbya sana au Vp...watu smart tunapata walevi na wah uni