Shida yetu watanzania kila mmoja anajua mambo kuliko mwenzake, na kila mmoja anajua siri za nchi na jinsi inavyoongozwa na taratibu zake zote kuliko mwingine, na ndio maana mtu akiulizwa swali, badala ya kujibu anakimbilia kuanza kumuona mwenzake punguani hana akili na uelewa
Hongera wewe genius
Obvious kuna uandishi mwingine unaakisi uelewa wa mtu ni wa aina gani